• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS Balandya aipongeza Wizara ya Fedha na Mipango kwa ubunifu wa kujenga Uchumi wa Nchi.

Posted on: March 12th, 2023


Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza  Ndg.Elikana Balandya ameipongeza Wizara ya Fedha na Mipango kwa ubunifu wake wa kujenga  Uchumi wa Nchi kwa kufanya majadiliano ya namna ya kutumia fursa zilizopo kwenye maeneo mbalimbali.

Akizungumza kwa niaba yake wakati wa kufunga mkutano wa kujadili mipango ya maendeleo mijini, Katibu Tawala Msaidizi Uchumi na Uzalishaji Emil Kasagara amesema Wizara ya Fedha na Mipango imekuja na mkakati huo wakati mwafaka kwani Mkoa wa Mwanza umejipanga kuhakikisha Uchumi wa bluu unachangamkiwa katika uzalizaji wa kisasa wa samaki.

"Serikali imeweka mazingira mazuri ya kuyawezesha makundi mbalimbali katika kujikwamua kiuchumi,hivyo ufugaji wa samaki kwa njia ya Vizimba wataendelea kuhimiza ili uwe na tija kwa Vijana kiuchumi."Amesisitiza Kasagara.

Amesema Mkutano huo wa siku mbili ambao umewahusisha wadau kutoka Mkoa wa Mwanza Wilaya ya Ilemela, Mkoa wa Tanga pamoja, Halmashauri zisizopungua 18 kutoka baadhi ya mikoa na Jumuiya ya Ulaya EU maazimio yote watakayokubaliana yatakuja na matokeo chanya katika maendeleo ya Taifa letu

.

"Huu ni mkakati wa Wizara ya Fedha na Mipango wa kuwakutanisha wadau kutoka Sekta mbalimbali zikiwemo Benki na kujadiliana kwa pamoja mipango ya maendeleo,changamoto zake na hatimaye kuyachukua maoni yao kwenda kuyafanyia kazi".Jonathan Mpuya mratibu wa miradi inayofadhiliwa kutoka nje , Wizara ya Fedha na Mipango.

Huu ni mpango wa miaka mitano unaofanywa na Wizara ya Fedha na Mipango lengo likiwa ni kumletea maendeleo mwananchi kupitia fursa mbalimbali zinazomzunguka.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MWANZA, SIMIYU ZANG'ARA UTAMILIFU DARASA LA SABA KANDA YA ZIWA

    May 30, 2025
  • RAS MWANZA AZINDUA RASMI MRADI WA KUPAMBANA NA UGONJWA WA SELI MUNDU

    May 30, 2025
  • WAANDISHI WA HABARI MWANZA WAPIGWA MSASA MIKAKATI YA KUTOKOMEZA WATOTO WA MITAANI

    May 29, 2025
  • RAS MWANZA AWATAKA VIONGOZI WA UMMA KUDUMISHA NIDHAMU NA UFANISI KAZINI

    May 26, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.