• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS BALANDYA AWATAKA MAAFISA USAFIRISHAJI KUBORESHA HUDUMA ZAO

Posted on: August 28th, 2025

Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Ndugu Balandya Elikana amewataka maafisa usafirishaji (madereva na makondakta) kuboresha na kuimalisha huduma zao kwa wananchi kwakua sekta ya usafiri na usafirishaji ina mchango mkubwa katika kukuza uchumi wa mkoa.

Wito huo ameutoa  leo Agosti 28, 2025 katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakati akifungua Semina kwa maafisa usafirisha yenye lengo la kutoa elimu kuhusiana na maswala ya uwekezaji.

Aidha, amewasihi washiriki wa semina hiyo kutumia uwezo watakaojengewa  waweze kuzitambua fursa za uwekezaji zilizopo katika sekta yao na kuweza kuendana na mabadiliko ya teknolojia.

“Niwaombe sana wadau katika sekta ya usafiri na usafirishaji kuendana na mabadiliko ya teknolojia ili kuwezesha na kuwa na manufaa makubwa katika sekta hii ya usafiri na usafirishaji”. Amesema Ndg. Balandya.

“Katika sekta hii kuna changamoto ya kukatisha ruti na kupeleka tunawasumbua abiria pamoja na bidhaa kwahiyo niwaombe tuachane na hii tabia ya kukatisha ruti”. Amesema Ndg. Balandya.

Naye, Meneja wa leseni kutoka LATRA Bw. Leo Ngowi amebainisha kuwa lengo kuu la mafunzo hayo ni kuwajengea uwezo wa kuendana na ukuaji wa Mji na ongezeko la watu katika Mkoa wa Mwanza.

“Kama tunavyofahamu Mkoa wa Mwanza unaongezeko la watu wengi  kati ya miji inayoendeleakukua kwa kasi na serikali inaendelea kuwekeza katika sekta hii hivo ni lazima tuweze kujiandaa ili tuweze iuwahudumia watu ambao watakua wanaingia katika Mkoa wetu.

Semina hiyo kwa maafisa usafirishaji (Madereva na Makondakta) imeandaliwa na Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana Tanzania (CMSA).

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI MBIO ZA MWENGE AIPONGEZA KWIMBA KUONGEZA WIGO UKUSANYAJI MAPATO

    August 28, 2025
  • RAS BALANDYA AWATAKA MAAFISA USAFIRISHAJI KUBORESHA HUDUMA ZAO

    August 28, 2025
  • WANANCHI 8488 KUNUFAIKA NA MRADI WA MAJI SAFI NA SALAMA MALIGISU KWIMBA

    August 28, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAANZA MBIO ZAKE KWIMBA

    August 28, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.