• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS MWANZA AAHIDI USHIRIKIANO ZAIDI NA TASAF

Posted on: January 27th, 2025

RAS MWANZA AAHIDI USHIRIKIANO ZAIDI NA TASAF


Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Balandya Elikana amesema Mkoa huo utaendelea kushirikiana na mpango wa Taifa wa kunusuru kaya masikini nchini (TASAF) ili kuendelea kuwainua wananchi kiuchumi na kuwatoa katika umasikini.

Amesema hayo mapema leo Januari 27, 2025 ofisini kwake wakati akiongea na ugeni kutoka TASAF makao makuu ulioambatana na washirika wa maendeleo kutoka Benki ya Dunia pamoja na Ubalozi wa Sweden.

Balandya amesema, Mwanza inajivunia miradi inayotekelezwa kama kutoa fursa kwa jamii za kujiongezea kipato na kuboresha huduma za kiuchumi kwa kaya za walengwa na kulinda maslahi ya watoto hivyo wataendelea kushirikiana na TASAF kila uchwao kuhakikisha  malengo yanafikiwa.

Aidha, amewashukuru TASAF kwa uhawilishaji fedha ambapo amebainisha kuwa umesaidia kuongeza kipato cha kaya na kuwekeza katika afya na elimu ya watoto pamoja na kuinua uchumi wa kaya kwa kujenga uwezo kwa kaya katika utunzaji rasilimali na kutengeneza njia mbadala na endelevu za ajira.

Vilevile, ametoa wito kwa mfuko huo kuendelea kusadia juhudi mbalimbali za Serikali kama kuondoa magugu kwenye ziwa victoria ambayo yamekua yakisababisha kuharibu vivuko na kusababisha adha ya usafiri kwenye visiwa na vivuko kati ya pande mbili zinazosafiri.

Japhet Boaz, akiongea kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF ametumia wasaa huo

kupongeza na kuwashukuru viongozi wa Mkoa wa Mwanza kwa kushirikiana na watendaji wao katika kutekeleza miradi kwa ufanisi.

Ugeni huo upo Mkoani Mwanza kwa siku tatu kwa ajili ya kutembelea miradi ili kuangalia utekelezaji wa mpango huo na mafanikio hususani katika Manisapaa ya Ilemela.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.