• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS MWANZA AHIMIZA USAFI NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA

Posted on: February 11th, 2026

Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Bw. Balandya Elikana amewataka wadau wa mazingira pamoja na wananchi kuhakikisha wanavitunza na kuvilinda vyanzo vyote vya maji hususani vile vinavyopeleka maji katika Ziwa Victoria

Amesema hayo leo, Februari 11, 2026 wakati akifungua kikao kazi cha kamati ya kudhibiti taka na usafi wa mazingira kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza ambapo amebainisha kuwa mazingira safi ni msingi muhimu wa kuboresha afya ya jamii na kuchochea maendeleo ya kiuchumi.

“Usafi wa mazingira ni jambo la msingi sana kwetu sote kwani unachangia afya, ustawi wa kijamii pamoja na maendeleo ya kiuchumi,” amesema Bw. Balandya.

Bw. Balandya amewasisitiza wananchi wa Mkoa huo kuepuka uchafuzi wa mazingira na utupaji holela wa taka katika maeneo ya biashara na makazi yanayowazunguka kwakuwa juhudi hizo zitasaidia kujenga jamii bora kwa sasa na kwa vizazi vijavyo.

Aidha, amewataka washiriki wa kikao hicho kujadili na kutambua mbinu bora ambazo zitasaidia kujenga jamii yenye mazingira ambayo ni safi yatakayoweza kupambana na magonjwa ya mlipuko ambayo yanaonekana kuwa ni tatizo katika jamii nyingi.

“Kikao hiki kitusaidie kutambua kuwa jamii bora hujengwa na mazingira safi kiafya na kijamii, ili kuepuka changamoto za magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu, malaria na homa ya manjano yatupasa kutunza mazingira, Tukitunza mazingira tunaweza kujikinga na magonjwa hayo.” Amesema Bw. Balandya.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI IDARA YA MAAFA OWM AFUNGA MAFUNZO YA KUKABILIANA NA DHARULA MWANZA

    February 20, 2026
  • KAYA 19,344 KUNUFAIKA NA BIMA YA AFYA KWA WOTE MWANZA AWAMU YA KWANZA

    February 20, 2026
  • RC MTANDA AMPOKEA WAZIRI DEUS SANGU MWANZA

    February 20, 2026
  • RC MTANDA AWATAKA WASIMBE NA WABANZA KUUNGANA KUKATA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    February 20, 2026
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.