• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS Mwanza awataka wahusika wa Mikopo ya asilimia 10 kusimamia vizuri mfumo wa utoaji kwa walengwa

Posted on: June 20th, 2022

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ngusa Samike amewataka wahusika wa Mikopo ya fedha asilimia 10 kutoka Halmashauri Mkoani humo kuyatumia vizuri mafunzo ya mfumo ili yawe na tija kwa walengwa na Taifa kwa ujumla.


Akifungua kikao kazi leo cha siku tatu kinachofanyika kwenye Ukumbi wa  Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Samike amesema Serikali imechukua hatua mwafaka kuhakikisha kila mwenye sifa anafaidika na Mikopo hiyo hivyo wasimamizi wana wajibu wa kuhakikisha zoezi hilo linakuwa na majibu chanya.

"Mkasaidie Vikundi kuanzia namna ya kuandika andiko la Mradi, kubuni Miradi endelevu kama ufugaji wa Samaki wa kwenye Vizimba ambao una faida nzuri na tija" Samike.

Vilevile, amesema Serikali imenuia kuinua kipato kwa kila mwananchi yakiwemo Makundi ya Vijana, Wanawake na Watu wenye Ulemavu na wajibu wa Serikali ni kutekeleza Sera ili kuleta Maendeleo kwa ujumla.

Mratibu wa Mafunzo hayo kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Idara ya Maendeleo ya Jamii, Bi. Janeth Sishilla amesema utaratibu huo wa mfumo wa usimamizi wa Mikopo ya asilimia kumi utaanza Julai Mosi wakiwa na matarajio chanya kutokana na mfumo huo kudhibiti wale watakaojaribu kwenda kinyume na utaratibu huo mpya.

Wahusika na Mafunzo hayo ni Wakurugenzi wa Halmashauri, Waweka hazina, Maafisa Mipango, Maafisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri, Maafisa Tehema wa Halmashauri na Waratibu wa Mikopo ya asilimia 10 wa Halmashauri.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA SEKTA BINAFSI MWANZA

    May 10, 2025
  • SERIKALI KUNUNUA MTAMBO RASMI WA KUSAFISHA ZIWA VICTORIA

    May 10, 2025
  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.