Swahili
  • English
  • Swahili
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS MWANZA AWATAKA WALIMU KUSIMAMIA MIONGOZO YA USIMAMIZI WA ELIMU ILI KUINUA UFAULU

Posted on: January 23rd, 2024

RAS MWANZA AWATAKA WALIMU KUSIMAMIA MIONGOZO YA USIMAMIZI WA ELIMU ILI KUINUA UFAULU


Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Ndugu Kusirie Swai ambaye ni Mkuu wa Seksheni ya Usimamizi, Ufuatiliaji na ukaguzi amewataka Maafisa Elimu na Walimu Mkoani humo kusimamia miongozo ya sekta hiyo ili kuinua ufaulu Mkoani humo.

Ndugu Swai ametoa wito huo kwa niaba ya Katibu Tawala Mkoa leo Januari 23, 2024 kwenye kikao cha tathmini ya utekelezaji wa shughuli za Elimu kwa 2023 na kuwekeana mikakati ya ufanikishaji kwa 2024.

Swai amesema katika kuhakikisha Sekta ya Elimu inaimarika ni lazima kutekeleza vyema mtaala mpya wa elimu ambao umeanza kutumika mwaka huu na kwamba katika kufanikisha hilo walimu wanapaswa kupewa mafunzo angalau kila robo mwaka.

"Ufaulu wa mkoa wa Mwanza umepanda kwenye kila mitihani katika matokeo ya kidato cha nne na kidato cha pili, lakini bado lugha ya kiingereza bado haijapewa kipaumbelee sana katika shule za Msingi na Sekondari ", Ndugu Swai.

Suala la chakula shuleni ndugu Swai amelitaja kuwa linasaidia sana kuthibiti utoro wa wanafunzi hivyo akatoa wito kwa walimu kushirikiana na wazazi katika kufanikisha suala hilo muhimu kwa maendeleo ya Taifa.

"Wazazi waendeelee kuelimishwa kuchangia xhakula shuleni, Maafisa Elimu halikisheni mnaimarisha menejimenti za shule za Msingi, Secondari na katika ngazi zote kila wakati na kuimarisha ufatiliaji wa jambo hilo." Amesema Kaimu Katibu Tawala huyo.

Aidha, Swai ametoa wito kwa Wakurugenzi wa Halmashauri kuhakikisha wanasimamia ujenzi wa miundombinu ili iwe bora na kuondosha kabisa tatizo la uhaba wa madarasa, matundu ya vyoo, maabara, mabweni pamoja na samani.

Naye, Mthibiti Mkuu wa ubora wa elimu kanda ya ziwa Mwalimu Lucy Nyanda amewataka wadau wa kikao hicho kuhakikisha wanazingatia maagizo yatolewayo ili kwenda kuboresha utendaji wa kazi kwenye maeneo yao.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • LENGO LA HOSPITALI ZA WILAYA NI KILA MWANANCHI APATE HUDUMA MAHALI ALIPO - WAZIRI MKUU

    May 19, 2025
  • MITAMBO YA KUOPOA MAGUGUMAJI KUWASILI MWISHONI MWA MWEZI JULAI.

    May 19, 2025
  • WAZIRI MKUU AWATAKA WANAMALYA KUCHANGAMKIA FURSA YA CHUO CHA MICHEZO

    May 18, 2025
  • NIA YA SERIKALI KILA MWANANCHI AUNGANISHIWE MAJI NYUMBANI KWAKE - WAZIRI MKUU

    May 18, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.