• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS MWANZA AWATAKA WATENDAJI SEKTA YA AFYA KUTEKELEZA VEMA PROGRAMU YA DREAMS KUSAIDIA VIJANA KUTIMIZA NDOTO ZAO

Posted on: March 14th, 2024

RAS MWANZA AWATAKA WATENDAJI SEKTA YA AFYA KUTEKELEZA VEMA PROGRAMU YA DREAMS KUSAIDIA VIJANA KUTIMIZA NDOTO ZAO


Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Emil Kasagara ametoa rai kwa watendaji wa Halmashauri za Mwanza kutekeleza Ipasavyo Programu ya DREAMS ili kusaidia kutimiza ndoto za watoto na vijana walio katika rika balehe ili kuokoa kizazi cha sasa na baadae dhidi ya maambukizi ya ukimwi

Ndugu Kasagara amesema hayo leo Machi 14, 2024 wakati akizindua rasmi kwa niaba ya Katibu Tawala Mkoa Programu ya DREAMS inayoratibiwa na KKKT Makao Makuu kwa ufadhili wa Shirika la msaada la Marekani USAID. Programu itakayotekelezwa katika Halmashauri 7 za Mkoa wa Mwanza.

Ndugu Kasagara amesema Mkoa huo unapongeza juhudi hizo na kuupokea kwa dhati programu hiyo na kwamba Ofisi hiyo itatoa ushirikiano wa dhati kuhakikisha unafanikiwa ili kuwa na jamii yenye afya njema yenye kujihusisha na uzalishaji mali na kujenga uchumi.

Bwana Issa Murshid Mkurugenzi mshiriki wa Kanda wa mradi wa USAID Kizazi Hodari (Brave Generation) amebainisha kuwa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania  (KKKT)  linatekeleza Programu hiyo chini ya ufadhili wa USAID ili kuhakikisha vijana wanalindwa na kuwa na Taifa lenye nguvu kwa maendeleo ya Taifa.

Awali, mratibu wa programu ya DREAMS kutoka TACAIDS Ndugu Kelvin Kisoma amefafanua kuwa mradi huo umelenga kusaidia vijana wa rika la miaka 10- 24 ili kuwalinda kwenye hatari ya kupata maambukizi ya ukimwi hivyo wanapata afua zitakazowasaidia kujilinda kwani ni kundi lililo kwenye hatari ya kuambukizwa.

Vilevile, amebainisha pia kwamba tafiti zilizofanywa mwaka 2016/17 zilionesha kuwa kundi la vijana lilipata na maambukizi mapya kwa 40% na kufanya kuwa sawa na kila kwenye kundi la watu kumi wanne wanaweza kuwa na maaambukizi. Pia alieleza kuwa watoto na vijana wakiwa katika hatari zaidi ya kupata maambukizi mapya.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MWANZA, SIMIYU ZANG'ARA UTAMILIFU DARASA LA SABA KANDA YA ZIWA

    May 30, 2025
  • RAS MWANZA AZINDUA RASMI MRADI WA KUPAMBANA NA UGONJWA WA SELI MUNDU

    May 30, 2025
  • WAANDISHI WA HABARI MWANZA WAPIGWA MSASA MIKAKATI YA KUTOKOMEZA WATOTO WA MITAANI

    May 29, 2025
  • RAS MWANZA AWATAKA VIONGOZI WA UMMA KUDUMISHA NIDHAMU NA UFANISI KAZINI

    May 26, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.