• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MAKALLA AMALIZA MGOGORO WA PAROKIA YA KAGEYE

Posted on: July 11th, 2023

RC MAKALLA AMALIZA MGOGORO WA  PAROKIA YA KAGEYE


*Aruhusu waumini kusali kama zamani*


*Asema kwa nyaraka kageye ni makumbusho ya Taifa*


*Aomba viongozi wa serikali kushirikiana na kanisa*


Mkuu wa Mkos wa Mwanza Mhe.CPA.Amos Makalla ameumaliza mgogoro baina ya Kanisa Katoliki na Halmashauri ya Magu kwa kuwaruhusu Waumini kuendelea kusali eneo la kihistoria la Kageye.

Akizungumza leo na uongozi wa Halmashauri na kanisa Katoliki, baadhi ya wananchi mara baada ya kutembezwa na kufahamishwa taarifa za kihistoria kwenye eneo hilo, Mkuu huyo wa Mkoa amebainisha amefanya mawasiliano na mawazili wa Maliasili na Utalii na Wizara ya Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi,hivyo kwa hatua ya kwanza ameruhusu Waumini kuja kusali hapo.

"Hili eneo ni la Mali Kale chini ya Makumbusho ya Taifa, baada ya mwaka 2019 kufanyika mabadiliko,hivyo nawaomba waumini endeleeni kuonesha ushirikiano na Serikali wakati mchakato wa namna ya kulitumia eneo hili ukiendelea kufanyika",amesisitiza CPA Makalla

Amesema kufika eneo hilo ni utekelezaji wa agizo la Rais Dkt.Samia aliyelitoa wakati wa Sherehe za Bulabo zilizofanyika Juni 13,2023  aliyetaka kufanyika kwa mazungumzo ya pande zote ili kufikia mwafaka sahihi.

"Tunakushukuru sana Mhe.Mkuu wetu wa Mkoa kwa hatua hii,nazungumza hapa kwa niaba ya Baba Askofu Renatus Nkwande tulisimama kuja kusali hapa kwa muda wa mwaka mmoja",Padri John Makungu,Paroko wa Parokia ya Kayenze.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.