• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MAKALLA ARIDHISHWA NA MANDHARI YA SOKO KUU LA MJINI KATI LINALOENDELEA KUJENGWA

Posted on: July 17th, 2023

RC MAKALLA ARIDHISHWA NA MANDHARI YA SOKO KUU LA MJINI KATI LINALOENDELEA KUJENGWA.


*Amuhimiza Mkandarasi kulikamilisha kwa wakati.


*Autaka uongozi wa Jiji kupunguza minada ili mzunguko wa kibiashara uwe mzuri kwa wafanyabiashara wa soko kuu.


*Asisitiza pia kwa wenye ulemavu kupewa kipaumbele wa vizimba soko kuu


Mkandarasi Mohammed Buiders anayejenga Soko Kuu la mjini kati ametakiwa kufanya kazi kwa kasi zaidi  kwa lengo la wafanyabiashara waanze kufanya shughuli zao kwenye mazingira ya kisasa zaidi.

Akizungumza leo na uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza pamoja na Mkandarasi wa soko hilo mara baada ya kufanya ziara ya ukaguzi,Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,Mhe.CPA Amos Makalla amesema ameridhika na mandhari ya soko hilo jambo la msingi sasa ni wananchi kuharakishiwa huduma.


"Hili ni soko la mfano linalokwenda na hadhi ya Jiji letu la Mwanza,nimejionea maeneo yote ni ya kisasa na ukubwa wa huduma za aina mbalimbali",CPA Makalla.

Amesema amesikia taarifa ya ujenzi huo utakamilika Septemba mwaka huu baada ya kuomba kuongezewe muda,na ana matumaini kazi hiyo itakamilika kwa wakati na ataendelea kufuatilia.

Aidha ameuagiza uongozi wa Halmashauri ya Jiji kuona namna ya kupunguza minada inayofanyika maeneo mengi Jijini humo ili kuwepo na mzunguko mzuri wa kibiashara kwa wafanyabiashara kwenye soko hilo litakapoanza.


"Nilifanya mazungumzo na nduge zetu wenye ulemavu nawakumbusha uongozi wapewe kipaumbele kwa kutengewa maeneo yao kwenye soko hili kusiwepo na aina yoyote ya ubaguzi",amesisitiza Mkuu huyo wa Mkoa

Awali akimkaribisha Mkuu huyo wa Mkoa,Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana,Mhe.Amina Makilagi amesema mara baada ya kukamilika kwa soko hilo litapunguza bugudha wanayopata wafanyabiashara ndogo ndogo ambao bado wapo wengi mitaani.


"Soko hilo litachukua jumla ya wafanya biashara 1,400 watapata nafasi kwenye maduka 472 ya wafanyabiashara wadogo,wa kati na wakubwa",Mhe. Amina Makilagi,Mkuu wa Wilaya Nyamagana.


Kwa upande wake Mbunge wa Nyamagana Mhe.Stanslaus Mabula amebainisha wanamshukuru Rais Dkt Samia Suluhu kwa kuuwezesha Mkoa wa Mwanza miradi mbalimbali ya kuwaletea maendeleo wananchi.

Zaidi ya Shs Bilioni 23 zimegharimu ujenzi wa soko hilo ambalo hadi sasa limefikia asilimia 90.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA SEKTA BINAFSI MWANZA

    May 10, 2025
  • SERIKALI KUNUNUA MTAMBO RASMI WA KUSAFISHA ZIWA VICTORIA

    May 10, 2025
  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.