• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MAKALLA AWAHAKIKISHIA WAKAZI WA KIPANDE CHA FELA KUJA MWANZA MJINI MALIPO YAO YA FIDIA KUPISHA MRADI WA SGR YAMEKAMILIKA

Posted on: July 10th, 2023

RC MAKALLA AWAHAKIKISHIA WAKAZI WA KIPANDE CHA FELA KUJA MWANZA MJINI MALIPO YAO YA FIDIA KUPISHA MRADI WA SGR YAMEKAMILIKA


*Asema malipo yao yapo hatua za mwisho kulipwa


*Ofisi yake imejipanga kukabiliana na aina yoyote ya hujuma kwenye mradi


*Ampongeza Mkandarasi kwa kasi nzuri.


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.CPA Amos Makalla amewahakikishia wakazi wa kipande cha kutoka Fela kuja Mwanza mjini cha kilomita 20 wanaotakiwa kupisha mradi wa Treni iendayo kasi SGR utaratibu wa malipo yao ya fidia upo katika hatua za mwisho kulipwa.

Akizungumza na uongozi wa mradi huo kwenye ukumbi mdogo wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kwa lengo la kufanya tathmini ya mradi huo,Mhe.Makala amewataka wananchi hao kuondoa shaka kwani mchakato wa malipo yao sasa upo Hazina.


"Hatua zote za msingi kuhusiana na fidia kwa wakazi wa maeneo hayo umefanyika,na wakati wowote kuanzia sasa malipo yatafanyika naomba niwahakikishie,"amesisitiza Mkuu huyo wa Mkoa.


Ameongeza kuwa Ofisi yake imejipanga kikamilifu kukabiliana na aina yoyote ya hujuma itakayofanyika kwenye mradi huo kwani kwa matendo hayo yatachangia kuzorotesha na kuchelewesha kukamilika kwa mradi huo.


"Nichukue nafasi hii kumpongeza sana Rais wetu Dkt.Samia Suluhu kwa kuhakikisha mradi huu unaendelea na fedha kutolewa kwa wakati",CPA Makalla


"Tupo katika hatua nzuri kukamilisha mradi huu,kipande cha Isaka-Mwanza chenye kilomita 341 kinajengwa kwa ubia wa Kampuni ya CCECC na CRCC zote kutoka China,"Christopher Kalisti,Meneja Mradi SGR LOT 5.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.