• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MAKALLA AWAOMBA WADAU WA ELIMU KUJITOKEZA KUING'ARISHA MWANZA KUCHANGIA MFUKO WA MAENDELEO YA ELIMU DUNIANI

Posted on: July 20th, 2023

RC MAKALLA AWAOMBA WADAU WA ELIMU KUJITOKEZA KUING'ARISHA MWANZA KUCHANGIA MFUKO WA MAENDELEO YA ELIMU DUNIANI


*Asema faida ya kuchangia mfuko huo ni Tanzania kuzidi kuimarika kwenye Sekta ya elimu


*Aonesha matumaini wadau kumuunga mkono kwa wingi kwenye mkutano wa kitaifa mwezi ujao


Wadau wa elimu Mkoani Mwanza wameombwa kujitokeza kwa wingi kuunga mkono mpango wa uchangiaji elimu kupitia mfuko wa maendeleo ya elimu Duniani GPE ili Tanzania iweze kunufaika na msaada wa Dolla milioni 50 endapo nchi hii itaonesha utayari huo.

Akizungumza leo kwenye kikao kifupi cha kuelimishana kuhusu mpango huo kilichofanyika kwenye ukumbi mkubwa wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa,Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.CPA.Amos Makalla amesema faida ya kupata fedha hizo ni kubwa katika kuzidi kujiimarisha kwenye sekta ya elimu hapa nchini

"Ndugu zangu wadau wa elimu tunaona jitihada za Serikali ya awamu ya sita inazofanya kwenye sekta hii ya elimu,hivyo tukifanikiwa kuzipata fedha hizo zitakwenda kujikita katika kuboresha miundombinu,na kuwajengea zaidi uwezo walimu wetu,"CPA Amos Makalla

Aidha ameonesha Imani kwa wadau hao kumuunga mkono kwa wingi katika uchangiaji huo ili katika kikao cha kitaifa kitakachofanyika Agosti 25,2023 kitakacho wajumuisha wakuu wa mikoa wote Mkoa wa Mwanza ushike nafasi za juu katika kuunga mkono mpango huo.


"Tanzania ni mnufaika wa  Mfuko huu tangu mwaka 2013 na ufadhili wa kwanza tulipata dola milioni 94.8 na zilisaidia mpango wa KKK yaani kusoma,kuandika na kuhesabu na Mkoa wa Mwanza umepata Shs bilioni 2.8 kuimarisha mkakati huo",amefafanua Dkt.Nicholous Gati,Afisa ufuatiliaji na tathmini,Mfuko wa maendeleo ya elimu Duniani,GPE.


Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA SEKTA BINAFSI MWANZA

    May 10, 2025
  • SERIKALI KUNUNUA MTAMBO RASMI WA KUSAFISHA ZIWA VICTORIA

    May 10, 2025
  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.