• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MAKALLA AWAPONGEZA TIC KUHAMASISHA WATANZANIA KUWEKEZA NCHINI

Posted on: January 8th, 2024

RC MAKALLA AWAPONGEZA TIC KUHAMASISHA WATANZANIA KUWEKEZA NCHINI


*Abainisha kuwa Miradi ya Kimkakati kuinua Uchumi wa Nchi*


*Awataka watanzania kuwekeza nchini kwa maendeleo ya Taifa*


*Awapongeza kwa kuweka mazingira rafiki zaidi ya upatikanaji wa leseni*


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Amos Makalla amekipongeza Kituo cha Uwekezaji nchini kwa kuhamasisha watanzania kujivunia uwekezaji nchini ili kukuza uchumi wao na kuweka mazingiza rafiki kwao kujihusisha.


Akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo hicho aliyeambatana na timu ya wafanyakazi leo januari 08, 2024 Ofisini kwake Mhe. Makalla amesema uamuzi wa kutoa Elimu kwa wafanyabiashara na makundi mengine juu ya uwejezaji ili kutoa hamasa waweze kuwekeza zaidi nchini.

Makalla amesema siku za nyuma watanzania walikua na kasumba kwamba uwekezaji ni kwa wananachi wa nje ya nchi pekee lakini kutokana na juhudi za Kituo hicho hivi sasa wameanza kuelewa kwamba ni suala la Wote hata wazawa.


Amesema kuwa Mkoa wa Mwanza umekua ukiongoza kwenye kutoa pato la Taifa kwa kushika nafasi ya pili ukiongozwa na Mkoa wa Dar Es Salaam na kwamba kwa shabaha ya Mkoa kwa sasa ni kuongeza juhudi kwenye uwekezaji kupitia sekta za uvuvi, kilimo, mifugo na uchukuzi.

Halikadharika, Mhe. Makalla amewapongeza kituo hicho kwa kuweka mazingira rafiki zaidi ya upatikanaji wa leseni na kusaidia wananchi wengi zaidi kuamua kujihusisha na shughuli za uchumi za kuwekeza.


Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini Gilead Teri amesema taasisi hiyo inafanya Uhamasishaji ili Watanzania waweze kujikita kwenye kuwekeza mitaji yao nchini badala ya kupeleka nje ili waweze kukuza nchi yao.

Ndugu Teri amesema wameona Viwanda vingi sana Mkoani Mwanza na kwamba vitasaidia kukuza uchumi kwani Sekta za Uvuvi, kilimo, uchukuzi kupitia miradi ya kimkakati inayojengwa na Madini vimeimarishwa sana siku za karibuni.

Ameongeza kuwa pamoja na ubora wa sheria ya Uwekezaji ya 2023, mifumo ya TEHAMA inasaidia zaidi kuweka urahisi wa kuhusisha watanzania wengi zaidi kwenye uwekezaji.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.