• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MAKALLA AWATAKA NSSF KUHARAKISHA KUIDHINISHA MABORESHO ILI MKANDARASI WA UJENZI HOTELI AKAMILISHE HARAKA

Posted on: January 10th, 2024

RC MAKALLA AWATAKA NSSF KUHARAKISHA KUIDHINISHA MABORESHO ILI MKANDARASI WA UJENZI HOTELI AKAMILISHE HARAKA


*Asema Mwanza ni mji wa kimkakati kitalii lazima wachangamkie fursa*


*Awataka kukamilisha taratibu za manunuzi ili mkandarasi aende kasi*


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Amos Makalla amewataka Mfuko wa Jamii (NSSF) kuharakisha taratibu za manunuzi ili mkandarasi anayejenga Hoteli ya kisasa ya kitalii ya nyota tano jijini Mwanza aendelee na ujenzi na kukamilisha kwa wakati.

Mkuu wa Mkoa ametoa maagizo hayo leo Januari 10, 2024 alipofika kukagua ujenzi wa Hoteli hiyo na kubaini kuwa ujenzi umesimama jambo ambalo litakwamisha ukamilishaji mwezi Julai mwaka huu kama ambavyo walibainisha siku za nyuma.

"Sasa nyie NSSF inaonesha mapendekezo yameshatolewa lakini msipofanya maamuzi mtachelewa zaidi ya hapa msilete visingizio vya bodi kukutana kumpa muda mkandarasi na kuidhinisha vitu fulani hapo tutachelewa zaidi nataka mkandarasi apewe kazi afanye." Makalla.


Aidha, amewataka NSSF kukamilisha taratibu za ukandarasi wa ujenzi wa Hoteli hiyo kufuatia kuongezwa kwa muda wa mkataba kufikia Disemba 2024 badala ya Mwezi Julai 2024 kama walivyoahidi siku za nyuma.

"Hoteli hii ni Muhimu sana kwa ukanda huu, Mwanza ni mji wa kimkakati nanyi mmepata nafasi ya kumiliki hoteli ya kisasa halafu mnaichezea wakati pale uwanja wa ndege linajengwa jengo la abiria na sehemu ya manunuzi (Shopping Mall), changamkeni." CPA makalla.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.