• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MAKALLA AWATAKA WADAU WA KILIMO, UVUVI NA UFUGAJI KANDA YA ZIWA MAGHARIBI KUJIANDAA NA MAONESHO YA KISASA YA NANE NANE 2023

Posted on: July 26th, 2023

RC MAKALLA AWATAKA WADAU WA KILIMO, UVUVI NA UFUGAJI KANDA YA ZIWA MAGHARIBI KUJIANDAA NA MAONESHO YA KISASA YA NANE NANE 2023.


*Azitaka Halmashauri zote kutoka Kanda hiyo kushiriki kwa kina*


*Atoa wito kwa Sekta za Uvuvi, Kilimo na Ufugaji kuonesha ubunifu kupitia maonesho hayo*


*Awataka Viongozi kuandaa vijana kujikita kwenye kilimo ili kujipatia uchumi*


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Amos Makalla amewataka wadau wa Kilimo, Uvuvi na Ufugaji kutoka Kanda ya Ziwa Magharibi kujiandaa vema na maonesho kabambe ya Nane nane yanayotarajiwa kufanyika kwenye viwanja vya Nyamhongolo Jijini Mwanza.

Ametoa wito huo mapema leo tarehe 26 Julai 2034 wakati wa kikao cha tathmini ya maonesho ya mwaka na maandalizi ya maonesho ya kilimo (NANE NANE) na maandalizi yanayoendelea ya maonesho hayo yanayotarajiwa kufanyika Kuanzia Agosti Mosi hadi 8, 2023.

Vilevile, Makalla ametoa wito kwa wataalamu kutoka mikoa hiyo kuwasaidia wafugaji, wavuvi na wakulima katika kuongeza thamani ya mazao yao na kufanya kilimo bora kwa ujumla ili waachane na zana za zamani na uwepo wao uongeze tija kwa wakulima na kuwainua kiuchumi kwa ujumla.

"Tunapaswa katika maonesho haya wataalamu wote na wagani kuendelea kuwasaidia wavuvi ma wafugaji katika kufanya shughuli zao kibiashara ili kuinua uchumi wao, tuwafundishe wapi watapata masoko ya mazao na kuongeza thamani ya mazao." CPA Makalla.

Aidha, ametoa rai kwa viongozi na watendaji kutoka kwenye kanda hiyo kuhakikisha wanawaleta wafugaji, wakulima na wavuvi kwenye maonesho hayo ili wajifunze kwa vitendo kupitia mashamba darasa ya Uvuvi, Kilimo na Vipando vitakavyooneshwa kwenye viwanja hivyo.

Kwa mara ya tano Kanda ya Ziwa Magharibi inatarajia kuadhimisha maonesho ya Nane nane katika viwanja vya Nyamhongolo na maonesho ya mwaka 2023 yamebeba kaulimbiu isemayo "Vijana na Wanawake ni Msingi Imara wa Mifumo Endelevu ya Chakula.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RAS MWANZA ATAKA UHAMASISHAJI CHAKULA CHENYE LISHE KUONGEZEKA SHULENI

    May 13, 2025
  • RC MTANDA AIPONGEZA BONDE LA ZIWA VICTORIA KWA KUELIMISHA UMMA

    May 13, 2025
  • RC MTANDA ASISITIZA UIMARISHWAJI WA UMOJA NA MSHIKAMANO

    May 12, 2025
  • SERIKALI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA SEKTA BINAFSI MWANZA

    May 10, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.