• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MAKALLA AWATAKA WAJASIRIAMALI KUTUMIA SEMINA NA VIFAA MTAJI KUTOKA AMO FOUNDATION KUKUZA BIASHARA ZAO

Posted on: March 6th, 2024

RC MAKALLA AWATAKA WAJASIRIAMALI KUTUMIA SEMINA NA VIFAA MTAJI KUTOKA AMO FOUNDATION KUKUZA BIASHARA ZAO


*Awataka kuwa na vipaumbele kwenye kusimamia biashara moja kwa umakini*


*Aipongeza AMO Foundation kwa kuweka huduma ya upimaji Afya*


*Atoa wito kwa vikundi kurejesha mikopo ili kuleta ufanisi wa mradi*


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Amos Makalla amewataka wajasiriamali kutumia semina na vifaa mtaji kutoka AMO foundation kutumia semina ya mafunzo na Vifaa mtaji watakavyokopeshwa kujiimarisha kiuchumi.

CPA Makalla ametoa wito huo leo Machi 06, 2024 wakati akikagua maendeleo ya Kongamano la siku nne la uwezeshaji kwa Wajasiriamali lililoandaliwa na Taasisi hiyo kwenye uwanja wa CCM Kirumba Mkoani Mwanza.


Makalla amesema katika kuhakikisha wanafanikiwa kukuza mitaji yao ni lazima wawe na nidhamu ya matumizi ya fedha na kurejesha mikopo kwa wakati ili pia vikundi vingine viweze kufikiwa kwenye uwezeshaji.

Aidha, ametumia wasaa huo kushukuru taasisi hiyo kwa kutoa huduma za upimaji afya kwenye magonjwa mbalimbali bila malipo yanayokwenda sambamba na kongamano hilo kwa wajasiriamali pamoja na wananchi.

Bi. Amina Good, Mkurugenzi wa Shirika la AMO foundation amebainisha kuwa shirika hilo limeamua kushirikiana na Serikali katika kutoa huduma za kijamii na ukuzaji wa mitaji kwa wajasiriamali kwa kuwapatia vifaa mitaji.

"AMO foundation tumeamua kushirikiana na Serikali kutoa huduma kwa jamii na katika kuwapata wanufaika wa vifaa hivi kama Pikipiki, mitungi ya gesi na majiko tumeshirikiana na Halmashauri kuwapata wajasiriamali kuanzia ngazi za vitongoji hadi Mkoa." Bi. Amina.


Kongamano hilo lenye Kaulimbiu isemayo; 'Uwajibikaji wetu ndio uhai wa Uchumi wetu' limewakusanya wajasiriamali kutoka wilaya zote za Mkoa wa Mwanza.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.