• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MAKALLA AZINDUA KAMPENI CHANJO YA SURUA NA RUBELA, ZAIDI YA WATOTO LAKI 7 KUCHANJWA MWANZA

Posted on: February 9th, 2024

RC MAKALLA AZINDUA KAMPENI CHANJO YA SURUA NA RUBELA, ZAIDI YA WATOTO LAKI 7 KUCHANJWA MWANZA


*Ahimiza wananchi waelimishwe athari za Surua na Rubella na ni chanjo salama*


*Ataka Sekta zote zishirikiane na hamasa iwepo kutokomeza Kipindupindu*


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Amos Makalla leo Februari 9, 2024 amezindua kampeni ya Chanjo ya Surua na Rubella kwa watoto wa miezi 9 na chini ya miaka 4 na miezi 11 itakayoanza Februari 15-18 ambapo zaidi ya watoto laki saba watapatiwa chanjo hiyo.

Akizungumza na wajumbe wa kamati ya afya kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Makalla amehimiza elimu na hamasa ya kutosha itolewe kwa wananchi kuhusiana na athari za ugonjwa huo na chanjo hiyo inayotolewa na Serikali ni salama na haina malipo.

"Bado kuna kasumba ya baadhi ya wananchi kukimbilia tiba mbadala badala ya kwenda vituo vya afya, nawaomba sana mjitahidi kutoa elimu ya kutosha ili mpango huu uwe na tija," amehimiza CPA Makalla.

Kuhusu ugonjwa wa Kipindupindu ambao amesema hadi sasa Mkoa wa Mwanza una wagonjwa 9, huku 7 wakitokea Sengerema na 2 wapo Ilemela,ametaka kuwepo na ushirikiano na hamasa kutoka Sekta zote ili kutokomeza ugonjwa huo.

"Mkakati wa elimu kuhusiana na ugonjwa huo tuendelee kutolewa ikiwemo kunawa kwa maji yanayotiririka, kuwa na choo bora na maji salama na kuepuka mazingira machafu yanayo tuzunguka,"Mkuu wa Mkoa.

"Niwaombe sana viongozi wa dini zoezi hili la chanjo muende mkatusaidie kuwaelimisha wananchi kujitokeza kwa wingi kuwapa chanjo watoto,lengo tufanikishe mpango huu,na kuhusu kipindu pindu mvua bado zipo maeneo yenye mlipuko hasa masoko na mialo miundombinu irekebishwe na usafi uzingatiwe",RAS Balandya.

Mganga mkuu wa mkoa wa Mwanza Dkt.Thomas Rutachunzibwa amewakumbisha watumishi wa Serikali kutoka sekta mbalimbali kuongeza juhudi ya kushirikiana na siyo kuiachia Idara ya afya pekee kupambana na ugonjwa huo.

Katika kampeni hiyo ya uzinduzi wa chanjo itakayoanza  imeambatana na utowaji wa elimu kuhusiana na ugonjwa wa Surua,Rubella na macho mekundu.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.