• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC Malima awashauri wataalam wa kilimo kutoa Elimu ya kutosha kuhusu Teknolojia ya ulimaji wa kisasa kwa Wakulima

Posted on: February 18th, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Adam Malima amewashauri Wataalamu wa kilimo kuendelea kuwaelimisha wakulima kuhusu teknolojia na ulimaji wa kisasa ili uwe na tija kwao wakati wa mavuno.

Akifunga Mkutano wa Kimataifa Jijini Mwanza uliokuwa ukiangalia maendeleo na utekelezaji wa mradi wa Teknolojia unaojulikana kama SKUMA VUTA  unaofadhiliwa na Jumuiya ya Ulaya (EU) unaolinda zao la Mahindi kushambuliwa na wadudu waharibufu, Mkuu huyo wa Mkoa amesema mageuzi bora  ya kilimo yanapaswa kufuatiliwa kwa karibu kuona kama kuna changamoto zozote na kuzitatua ili mkulima atumie nguvu kidogo na kufaidika wakati wa mavuno yake.

"Niwapongeze sana wafadhili wa mradi huu wenzetu nchi jirani ya Kenya wamepiga hatua sana katika kilimo cha Mahindi kutokana na kutumia teknolojia kama hii, naamini Tanzania muda mfupi ujao tutapiga hatua kubwa hasa kutokana na ukubwa wa ardhi yetu yenye rutuba." Mhe.Malima

Amebainisha kuwa sherehe za Nanenane zinazofanyika kila mwaka Mkoani Mwanza zitumike kikamilifu kama jukwaa la kuwaelimisha wakulima kuhusu mageuzi hayo chanya ya Kilimo ambayo yatakuwa mkombozi kwao kiuchumi..

"Tumefika hapa Tanzania ambapo mimi ni mara yangu ya kwanza kujionea maendeleo ya mradi huu,wakulima watumie fursa hii kupata uelewa na sisi tupo kwa ajili ya kuwasikiliza ili mwisho wa siku tufike katika malengo yetu ya ulimaji wa kisasa wa kupata mazao bora na ya kutosha" Prof.Emily Poppenborg, Mratibu wa mradi UPSCALE.

"Mradi huu wa miaka mitano hapa kwetu sasa ni mwaka wa pili na miezi minne,unatekelezwa nchi tano barani Afrika zikiwemo Kenya,Uganda,Rwanda na Ethiopia na tumelenga zao la Mahindi kutokana na kuwa ni la usalama kwa chakula" Dkt.Paul Saidia Mkurugenzi TARI

Mradi wa SKUMA-VUTA ni teknolojia ya kupanda mimea wa jamii ya mikunde kwenye shamba la mahindi ambayo inazuia wadudu waharibufu kama Viwavijeshi kushambulia zao hilo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.