• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC Mongella atoa neno kuhusu kifo cha Mhe.Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa

Posted on: July 24th, 2020

"Benjamin Mkapa, alikuja na sera ya uwazi, ukweli ili kuhakikisha tumeingia kwenye uchumi wa soko ambapo mifumo thabiti ya kudhibiti nguvu za soko na kuweka mifumo ya kisasa ya utendaji kazi,"

Hayo ni maneno ya Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella alipokuwa akimzungumzia  aliyekuwa Rais wa Tanzania awamu ya tatu ambaye amefariki dunia usiku wa kuamkia July  24 mwaka huu alisema katika uendeshaji wa serikali marehemu alihakikisha uimarishaji wa sekta binafsi,ubinafishaji wa mashirika na kuleta ufanisi kwenye uchumi.

Alisema kuondoka kwa Mkapa ni pigo kwa taifa ,kwani wakati wake alisimamia sana kuimarisha mifumo ya kiserikali,na ukienda katika maeneo mbalimbali alifanya mambo mengi ambayo yaliwagusa watu moja kwa moja .

" Ukienda Ukerewe ile Mv Nyerere ni yeye ndiye aliridhia itengenezwe , alitengeneza vitu vingi sana ikiwemo kupeleka Umeme ,miradi ya maji katika maeneo mengine mengi ulitengenezwa wakati wake Mwanza tuna historia kubwa na Mzee Mkapa ni mtu ambaye amechangia sana kwenye maendeleo ya nchi yetu" alisema Mongella.

Aliongeza kuwa kila awamu ya uongozi wa nchi hii inafanya mambo ya msingi kwenye kuimarisha na kufanya maboresho katika jamii ambapo wakati wa Mwalimu Nyerere misingi ya nchi ilijengwa na uzalendo ulikuwa wa kiwango cha juu,hivyo ni wakati wetu kujiombea ili tuweze kuimarisha misingi na kuiga mifano mema ambayo wazee wetu wameiweka akiwemo Mkapa.

"Nikikumbuka naumia sana Mwaka huu tu February 21 tulikuwanaye kwenye mkoa wetu takribani siku tatu ,alitupa heshima kubwa sana yeye na ofisi yake baada ya kuzindua kile kitabu chake Cha My life my purpose Dar, es salaam kituo Cha pili alipokuja kukitambulisha kitabu kile ilikuwa Mwanza na alipokuwa akizungumza aliongea maneno mazito" alieleza Mongella.


Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.