• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AAGIZA MAAFISA POLISI WANAOKIUKA SHERIA KUCHUKULIWA HATUA

Posted on: July 6th, 2024

RC MTANDA AAGIZA

 MAAFISA POLISI WANAOKIUKA SHERIA KUCHUKULIWA HATUA.


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.Said Mtanda amewataka maafisa Polisi mkoani humo wanaotenda kazi kinyume na utaratibu wa sheria za nchi zilizoainishwa kuchukuliwa hatua mara moja ili kukomesha uchafuzi wa taswira ya jeshi la Polisi.

Ameyasema hayo leo Julai 6,2024 alipohudhuria hafla fupi ya utoaji wa sifa na zawadi kwa wakaguzi na askari  tisa waliofanya vizuri kwa kipindi cha mwaka 2023/2024 iliyofanyika katika uwanja wa Polisi FFU Mabatini.

“Askari wote mliopo hapa muendelee kuimarisha nidhamu na wale wachache ambao wanaoonyesha nidhamu ambayo siyp sahihi kwa jeshi la polisi wachukuliwe hatua kwakuwa wanachafua taswira ya Jeshi la Polisi.” Mtanda

 Mtanda ameongeza kwa kusema askari Polisi na watumishi wote wa mkoa wa Mwanza kuzingatia weledi katika kazi na kuepuka na kuacha kujihusisha na vitendo vya kupokea rushwa.

Naye Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza  Wilbroad Mtafungwa amesema anawashkuru sana wananchi kwa kutoa msaada mkubwa kupitia mkakati wa Jeshi la Polisi wa kuishirikisha jamii katika kuzuia uhalifu kushirikiana na Polisi kuweza kuyafichua maovu yanayofanywa na waharifu.

“Hali ya ulinzi na usalama mkoani Mwanza ni shwari hakuna matukio makubwa yanayohatarisha usalama wa wananchi na mali zao jeshi la polisi kushirikiana na wananchi wanafanya msako kuzuia uharifu Mwanza”. Mtafungwa

Baadhi Wananchi wamejitokeza kushuhudia hafla hiyo fupi na kuweza kupewa nafasi mbalimbali kama kusoma shairi la kupongeza ufanisi na utendaji bora wa Jeshi la Polisi 

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.