• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AIPOKEA KAMATI YA BUNGE YA PIC MWANZA

Posted on: March 21st, 2025

RC MTANDA AIPOKEA KAMATI YA BUNGE YA PIC MWANZA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda leo tarehe 21 Machi, 2025 ameipokea Kamati  ya kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma iliowasili kwa ziara ya siku 3 katika kukagua miradi mbalimbali ambayo Serikali imewekeza fedha.

Akiongea katika kikao kifupi kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mhe. Mtanda amewashukuru kamati hiyo kwa kuja kukagua maendeleo ya ujenzi wa upanuzi wa bandari ndani ya Mkoa huo kwani watasaidia kuchagiza kasi ya ukamilishwaji.

"Mmefanya vizuri kuja kukagua mradi wa  upanuzi wa bandari zetu za Mwanza Kaskazini na Kusini ambazo zipo kwenye upanuzi kufuatia ujenzi wa Meli kubwa ya kisasa iliyofikia zaidi ya asilimia 90 na itakapoanza kazi kupitia bandari hizo basi tuna uhakika safari za Bukoba, Jinja na Kampala."

Aidha, amebainisha kuwa ukamilifu wa miradi ya bandari pamoja na daraja la  Kigongo - Busisi utasaidia kukuza uchumi wa Mwanza na kupelekea kuongeza pato la Taifa kutoka Mwanza ambalo kwa sasa ni Trilioni 13.5 sawa na asilimia 7.2 ikiufanya Mkoa huo kushika nafasi ya pili kwa uchangiaji ukitanguliwa na Dar es Salaam.

Vulevile, amebainisha kuwa Mwanza kuna chanzo cha maji kizuri cha Butimba chini ya Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira (MWAUWASA) chenye pampu mpya 3 na kwamba zaidi ya Lita Milioni 48 zinazalishwa kwa siku kupitia chanzo hicho ambacho kinafanya Mwanza kuwa na uhakika wa maji.

Naye, Mwenyekiti wa Kamati hiyo ambaye ni Mbunge wa Kasulu Mhe. Augustino Vuma amesema wamekuja Mwanza kukagua miradi ya Maji, Bandari na Daraja ili kuona kama kuna tija ya uwekezaji uliofanywa na Serikali kwa fedha nyingi pamoja na kuona kama taratibu za matumizi ya fedha zimefuatwa.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.