• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA ATAKA TATHMINI KUBAINI THAMANI HALISI ENEO LINALOLALAMIKIWA NA THEREZA MABULA ILI KUPATA SULUHU

Posted on: June 11th, 2024

RC MTANDA ATAKA TATHMINI KUBAINI THAMANI HALISI ENEO LINALOLALAMIKIWA NA THEREZA MABULA ILI KUPATA SULUHU


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amemuagiza Kamishna wa Ardhi Mkoa kumuelekeza mthamini wa ardhi kufanya tathmini ya eneo linalolalamikiwa na Bi. Thereza Mabula lililopo mtaa wa Kanyerere ili kubaini kama baraza la ardhi la Wilaya lina mamlaka ya kusuluhisha kesi ya nsingi ya uvamizi

Mhe. Mkuu wa Mkoa ametoa agizo hilo leo Junu 11, 2024 alipofanya ziara kwenye eneo la Kanyerere wilaya ya Nyamagana ambapo alifanya mkutano na wananchi wa eneo hilo wapatao zaidi ya Kaya 200 wanaotakiwa kupisha kwenye eneo hilo kutokana na ushindi aliopewa Bi. Thereza mwaka 2017 na baraza la kata.

"Sheria za sasa za ardhi zimeondoa  mamlaka ya kuhukumu kwa baraza la ardhi la jata bali linatakiwa kusuluhisha tu na endapo watafikisha shauri kwenye ngazi ya Wilaya basi hukumu itatolewa kwa kesi isiyozidi madai ya milioni 300 lakini hapa kuna kazi ya kufanya." Mkuu wa Mkoa.

Aidha, ametoa wito kwa wananchi waliotakiwa kuondoka kwenye eneo hilo kwenda kwenye baraza la ardhi wapate ufafanuzi wa kisheria kama wanahusika na hukumu ya ushindi alioupata Bi. Thereza dhidi ya Bwana Paul Ngesera uliomtaka kuwaondoa wote kwenye eneo hilo au la.

Mwenyekiti wa baraza la ardhi la Wilaya Paulo Lekamoi amesema mgogoro huo wa ardhi ulianza kwenye kata mwaka 2009 kwa Bi Thereza kumlalamikia bwana Paul Ngesera kuvamia eneo lake Kanyerere ambapo mwaka 2017 kesi iliisha na alipewa ushindi na mwaka 2018 alifungua shauri baraza la ardhi na nyumba wilaya kwa ajili ya kukaza hukumu ya ushindi wa baraza la kata ambapo alipewa dalali kwa ajili ya kufanya utekelezaji.

Amefafanua kuwa, changamoto za utekelezaji wa agizo hilo lilikakwama maana tayari kulikua na makazi ya wananchi zaidi ya 200 ambapo ni ngumu kuwaondoa wote ili kumpatia eneo lake Bi Thereza kwani wengine hawakua ndani ya shauri lake na kupekekea Mhe. Waziri wa ardhi kumuagiza arudi mahakamani kiwashitaki wengine ili nao wasikilizwe.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.