• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA ATOA SOMO KWA WATENDAJI KUCHUKUA HATUA KUREKEBISHA MATATIZO BUCHOSA

Posted on: January 20th, 2026

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amefika katika Kituo cha Afya Nyamsenda kilichopo Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa na kutoa somo la uwajibikaji kwa Viongozi na Wataalamu baada ya kubaini kuwa wamekua wazembe katika kuchukua maamuzi.

Akikagua ujenzi wa majengo ya Mama na Mtoto, upasuaji, nk Mkuu wa Mkoa amejikuta akiingia kwenye fatiki ya kuondosha mifuko ya saruji katika makazi ya mtumishi anayeishi kwenye chumba kimoja kutokana na chumba kingine kujazwa saruji zilizoganda ambazo hazifai tena kwa matumizi.

Mkuu wa Mkoa amefafanua kuwa mnamo juni 03, 2021 serikali ilileta Tshs. Milioni 250 katika kituo hicho cha Afya kwa ajili ya ujenzi lakini pamoja na kukamilika kwa ujenzi kulitokea uzembe uliosababisha mifuko kadhaa ya saruji kaganda na kwamba waliosababisha walishachukuliwa hatua za kinidhamu.

Aidha, Halmashauri hiyo iliendelea kubaki na mifuko hiyo na kuamua kuihifadhi kwenye nyumba ya mtumishi na kusababisha adha ya kuharibu faragha kwenye kaya hiyo yenye watoto wawili ambao walilazimika kulala na wazazi wao.

Halikadhalika Mkuu wa Mkoa amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo kufanya tathmini na kukarabati nyumba hiyo ndani ya siku saba ili kumpatia mazingira safi na salama ya kuishi mtumishi huyo pamoja na familia yake.

Juma Lugendo, Msaidizi wa Afya katika kituo hicho ambaye ni mtumishi anayeishi kwenye chumba kimoja katika nyumba yenye vyumba 2 kutokana na kimoja kugeuzwa kuwa stoo ya kuhifadhia saruji iliyoganda amemshukuru Mkuu wa Mkoa kwa maamuzi ya kuondoa saruji hiyo.

Aidha, ameonesha furaha yake na kubainisha kuwa kwa sasa ataishi na familia yake kwa furaha kwani hawatakua na woga wa kuingiliwa na wadudu lakini pia kwa kuondokana na athari za kiafya ambazo wangeweza kuzipata yeye na familia yake.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MTAKUWAA MWANZA YAWEZESHA KUPUNGUZA WATOTO WA MTAANI KWA 50%

    January 26, 2026
  • RC MTANDA: DHAMIRA NI MSINGI WA KUFANIKISHA SHUGHULI ZA MWENGE WA UHURU 2026

    January 26, 2026
  • NDC WAHITIMISHA ZIARA YA MAFUNZO MWANZA

    January 23, 2026
  • WAZIRI MKUU AZINDUA MELI MPYA YA MV NEW MWANZA, ATOA MAAGIZO KWA MIRADI ILIYOSIMAMA

    January 23, 2026
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.