• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA ATOA UFAFANUZI JUU YA CHANGAMOTO YA MAJI

Posted on: September 23rd, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewaomba radhi wananchi wa mkoa huo juu ya changamoto ya ukosekanaji  maji iliyojitokeza kuanzia tarehe 19 Septemba, tatizo ambalo lilitokana na kuyumba kwa umeme katika chanzo cha maji Butimba.

Amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari mapema leo Septemba 23, 2025 ofisini baada ya kusikiliza kero za wananchi zoezi ambalo linafanyika kila siku za jumanne.

Mhe. Mtanda amesema tayari mamlaka husika imeshaanza kushughulikia tatizo hilo ambalo mpaka sasa ukarabati umefikia asilimia 80 na  baadhi ya maeneo tayari maji yameshaanza kutoka.

"Sasahivi tumefikia asilimia 80 ya marekebisho ya mitambo iliyopata athari kwahiyo kuanzia leo maji yataanza kutoka katika baadhi ya maeneo" Amesema  Mhe. Mtanda.

Aidha Mhe. Mtanda amesema serikali ipo kwenye mchakato wa kupanua mradi wa maji wa Capripoint uliofikia asilimia 35 mpaka sasa ambao ulikua ukizalisha maji Lita Millioni 90 na baada ya marekebisho utazalisha maji Lita Millioni 138.

"Tunaendelea na upanuzi wa mradi wa maji na miundombinu ambapo tunaomradi wa maji wa Capripoint ambao ulikua ukizalisha maji Lita Millioni 90 na baada ya marekebisho utazalisha maji Lita Millioni 138 kwa sasa tupo asilimia 35 ya marekebisho yake.

Mamlaka ya maji mkoa wa Mwanza (MAUWASA) ilitoa taarifa kwa wananchi wa maeneo ya Mkuyuni, Nyegezi, Mkolani na Msituni juu ya upungufu wa maji katika chanzo cha maji Butimba ambao ulitokana na kuyumba kwa umeme, mradi huo unauwezo wa kuzalisha maji lita Millioni 48.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MTANDA ATOA UFAFANUZI JUU YA CHANGAMOTO YA MAJI

    September 23, 2025
  • HUDUMA ZA MSAADA WA KISHERIA KUTOLEWA KWENYE MAGEREZA MWANZA

    September 22, 2025
  • RAS BALANDYA ATOA WITO KWA JESHI LA POLISI KULINDA AMANI KATIKA UCHAGUZI MKUU

    September 22, 2025
  • RC MTANDA ASHUHUDIA SAFARI YA KWANZA YA MV NEW MWANZA KWENDA BUKOBA

    September 21, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.