• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA ATOA WITO KWA WANAWAKE KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

Posted on: March 6th, 2025

RC MTANDA ATOA WITO KWA WANAWAKE KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ametoa wito kwa wanawake kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi nchini katika uchaguzi mkuu 2025 kwani Serikali imejipambanua kwenye kukuza usawa, haki na uwezeshaji kwa jamii.

Mhe.Mtanda ametoa wito huo mapema leo Machi 06, 2025 kwenye uwanja wa mpira wa Nyamagana wakati akihutubia wanawake na wananchi walioshiriki maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya wanawake ngazi ya Mkoa.

Mtanda amesema wanakwake ni jeshi kubwa nchini hivyo likitumika vizuri litaleta maendeleo na Serikali inaendelea kutoa usawa wa kijinsia kwenye uongozi na ndiyo maana hata Mwanza wapo viongozi wengi wa kike na 43% ya viongozi ni wanawake nchini.

"Tunazo bilioni 2.4 kwa ajili ya mikopo kwa walemavu tena kwa jinsia zote na kundi hili siyo lazima waombe mkopo kwa vikundi hata mmoja mmoja na jumla ya wataalamu wa afya 3201 wameajiriwa kuanzia 2021 hadi 2025 na kufanya huduma za afya kuimarika zaidi mkoani Mwanza." Mhe. Mtanda.

Akisoma risala ya wanawake wa Mkoa huo Mwalimu Sophia Turuya amesema wanawake nchini ni wengi zaidi ya wanaume kwa uwiano wa zaidi ya milioni moja hivyo kundi hilo likipewa fursa litakua ni chachu ya maendeleo.

Aidha, ameipongeza Serikali kwenye uboreshaji wa huduma za afya na akawasilisha ombi la kuongezwa kwa wataalamu wa afya na mazingira pamoja na kuweka mazingira rafiki ya kupata nishati safi ya kupikia pamoja na mabweni ya wasichana ili watoto wa kike wasome katika mazingira salama.

Vilevile, ameutaja mfuko wa maendeleo ya wanawake kupitia vikundi vya ujasiriamali kama mkombozi wa mikopo kwa masharti nafuu kwa wanawake ambao unawapatia mitaji kupitia mikopo itokanayo na mapato ya ndani ya halmashauri.

Katika kunogesha maadhimisho hayo yenye kauli mbiu 'wanawake na wasichana 2025, tuimarishe haki, usawa na uwezeshaji' michezo mbalimbali imerindima kama kuvuta kamba, mbio kwenye magunia, kufukuza kuku na washindi wamejipatia zawadi nono.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.