• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AWAPONGEZA TTCL UBORESHAJI MIUNDOMBINU NA HUDUMA, AWATAKA WANANCHI KUJIUNGA KWA GHARAMA NAFUU

Posted on: July 11th, 2024

RC MTANDA AWAPONGEZA TTCL UBORESHAJI MIUNDOMBINU NA HUDUMA, AWATAKA WANANCHI KUJIUNGA KWA GHARAMA NAFUU


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza amelipongeza Shirika la Mawasiliano nchini TTCL kwa uboreshaji wa Miundombinu na huduma za mawasiliano hususani katika simu na intaneti na ametoa wito kwa wananchi kujiunga na huduma hizo ambazo ni za gharama za nafuu kulinganisha na wengine.

Mhe. Mtanda ametoa pongezi hizo leo tarehe 11 Julai, 2024 wakati alipofanya ziara kwenye shirika hilo tawi la Mwanza kwenye eneo la Utawala Nyamagana pamoja na kwenye miundombinu ya kuendeshea huduma kwenye vituo vya Ilemela pamoja na Kiseke.

Amesema maamuzi ya matumizi ya waya za Fiber (Mkongo wa Taifa) kutoka kwenye teknolojia ya Copper zilizokuwa zinatumika hapo awali ni mapinduzi ya kiteknolojia na dhima ya dhati ya uboreshaji wa huduma tena kwa gharama nafuu.

Aidha, amewasifu TTCL kwa kuamua kutumia nguzo za Shirika la Umeme nchini kwa ajili ya kusambazia waya za shirika hilo kwani itarahisisha kuwafikia wateja wengi zaidi na kwa gharama ya chini ya uendeshaji kwani tayari wateja wanaofikiwa na nishati ya umeme kwa nguzo hizo wamesambaa kote nchini.

Awali, Meneja wa Shirika hilo Mkoa wa Mwanza Bw. Jalili Senkopwa amebainisha kuwa juhudi za uboreshaji zilianza mwaka 2017 hususani baada ya kuchukua shughuli za lililokua shirika la Simu kwa asilimia 100.

Aidha, amesema bidhaa za simu na intanenti zimeboreshwa na kwa kushirikiana na mfuko wa mawasiliano (USCAF) wanaweka minara kwenye maeneo yaliyokosa mvuto hususani kwenye visiwa vya Maisome, Bukimwi na Bezi.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.