• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AWATAKA VIONGOZI WA USHIRIKA MWANZA KUJIEPUSHA NA UBADHIRIFU

Posted on: March 21st, 2025

RC MTANDA AWATAKA VIONGOZI WA USHIRIKA MWANZA KUJIEPUSHA NA UBADHIRIFU


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewataka Viongozi na Watendaji wa Vyama vya ushirika katika Mkoa wa Mwanza kuhakikisha wakati wote wanasimamia na kutekeleza majukumu yao kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Ushirika Na.6 ya mwaka 2013 na kanuni zake.

Mkuu wa Mkoa amebainisha kuwa masharti ya vyama hivyo ni pamoja na kujiepusha na vitendo viovu kama vile ubadhirifu/wizi, matumizi mabaya ya madaraka, kutokuwajibika na uzembe maana vitendo hivi vinasababisha Vyama vya Ushirika kuendelea kuzorota na kushindwa kutoa huduma iliyokusudiwa kwa wanachama na wakulima kwa ujumla.

Mkuu wa Mkoa ametoa rai hiyo mapema leo Machi 21, 2025 alipokuwa akizungumza na Wanaushirika waliohudhuria mkutano mkuu wa 33 uliofanyika katika Ukumbi wa Chama Kikuu cha Ushirika Nyanza.

Kadhalika Mhe. Mtanda ameitaka Tume ya Maendeleo Tanzania kuendelea kusimamia na kuhakikisha ukaguzi wa mara kwa mara unafanyika katika Vyama vya Ushirika na dosari zinazobainika zinafanyiwa kazi mara moja.

“Kwa kufanya hivyo itasaidia kuhakikisha vyama vinaendeshwa katika misingi ya haki lakini pia rasilimali za Ushirika zinatumika kwa malengo yaliyokusudiwa”.

Naye Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Mwanza Bi. Hilda Boniface amesema Mkutano Mkuu huo wa ushirika umelenga kupitia na kujadili masuala mbalimbali ikiwemo mafanikio, hatua mbalimbali zilizofikiwa na chama hicho pamoja na kujadili mipango ya mwakani.

Aidha amesema kupitia Mkutano huo pia kutakua na mjadala wa demokrasia na wazi kwa wanachama wote wataruhusiwa kutoa maoni yao juu ya kile ambacho bodi itakileta mezani ili kupata maoni yatakayojenga ushirika Mkoani Mwanza.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.