• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AWATAKA WALIOVISHWA NISHANI WAKAWE MABALOZI WAZURI KWA WENGINE

Posted on: June 19th, 2024

RC MTANDA AWATAKA WALIOVISHWA NISHANI WAKAWE MABALOZI WAZURI KWA WENGINE


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewapongeza maafisa, wakaguzi na askari wa Jeshi la Zimamoto waliovishwa nishani na kusema mafanikio yao yatakua chachu kwa wengine kufikia na hata kuzidi viwango vya ubora wa kufanya kazi.

Akizungumza leo katika hafla hiyo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Katibu Tawala Mkoani humo Bw. Balandya Elikana amebainisha heshima hiyo waliyopewa na Rais Samia wana wajibu wa kuja na matokeo chanya ya kufanya kazi kwa weledi na nidhamu.

"Nishani zilizotolewa leo ni kumbukumbu kwa sisi tuliopo na wanaokuja kwamba  hawa ni miongoni mwa waliofanya vizuri hivyo niwatake mkawe mabalozi wazuri kwa wengine".Balandya

Aidha  amelipongeza Jeshi hilo la Zimamoto na Uokoaji kwa kazi nzuri na ya  mfano kwa wengine, amesema  limekuwa likifanya kazi kubwa na nzuri ya kuokoa maisha na mali za watu.

"Hongereni sana. ninatambua na kufarijika na jitihada zinazoendelea kufanyika na mafanikio ya kutia moyo kupitia marafiki wa zimamoto". Mtendaji wa Mkoa


Mara baada ya kuwavisha nishani maafisa, wakaguzi na askari 25 wa Mikoa ya Kanda ya Ziwa na jirani Kwa niaba ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan, Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, John Masunga amewataka kudumisha nidhamu kazini.

Aidha Kamishna Jenerali Masunga amewataka wale ambao hawakupata nishani hizo kuendelea kufanya kazi kwa bidii na kutokata tamaa kwani zoezi hilo halijaishia leo bali kuna nishani nyingi zitaendelea kutolewa.

"Tukachape kazi kwa bidii, tuwe na tabia njema, tuendeleze nidhamu katika vituo vyetu vya kazi, hiyo ndio njia pekee itakayohusika katika kuwafanya mkatunukiwe nishani". Kamishna Jenerali Masunga..

Wakati huo huo Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Balandya Elikana mapema leo asubuhi Ofisini kwake amefanya mazungumzo na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji John Masunga.


Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • OFISI YA MKUU WA MKOA WA MWANZA YATOA SALAMU ZA PONGEZI KWA PROF.JANABI

    May 20, 2025
  • LENGO LA HOSPITALI ZA WILAYA NI KILA MWANANCHI APATE HUDUMA MAHALI ALIPO - WAZIRI MKUU

    May 19, 2025
  • MITAMBO YA KUOPOA MAGUGUMAJI KUWASILI MWISHONI MWA MWEZI JULAI.

    May 19, 2025
  • WAZIRI MKUU AWATAKA WANAMALYA KUCHANGAMKIA FURSA YA CHUO CHA MICHEZO

    May 18, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.