• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AZINDUA OFISI ZA PPRA KANDA YA ZIWA, AMPONGEZA RAIS SAMIA KUSOGEZA HUDUMA KWA WADAU

Posted on: June 11th, 2024

RC MTANDA AZINDUA OFISI ZA PPRA KANDA YA ZIWA, AMPONGEZA RAIS SAMIA KUSOGEZA HUDUMA KWA WADAU


Leo Juni 11, 2024 Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amezindua Ofisi ya Kanda ya Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma zilizopo mtaa wa Mkoani kwenye jengo la zamani la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa.

Akizungumza kwenye hafla hiyo fupi Mhe. Mtanda amesema uwepo wa Ofisi hiyo ni ishara ya Kujali na uhodari wa Rais Samia kwenye kuboresha ofisi za umma nchini hivyo ametumia wasaa huo kumshukuru kwa kusogeza huduma kwa wadau wa ununuzi nchini.

"Tunaamini watatoa huduma bora kwa taasisi nunuzi kwa kuzingatia matumizi sahihi ya mfumo ili kurahisisha huduma na kuwa na thamani ya fedha za umma kwenye ununuzi", amesema Mkuu wa Mkoa wakati akiwasihi PPRA kutoa huduma bora.

Katibu Tawala Mkoa, Balandya Elikana amesema mifumo ya ununuzi wa umma ya Elektroniki ina faida ya kuweka uwazi wa kuonesha huduma au bidhaa kwa wazabuni na inasaidia kupunguza upendeleo na rushwa na kupatikana kwa thamani ya fedha kwenye huduma au bidhaa iliyotolewa.

Mhandisi Juma Mkobya, Meneja PPRA kanda ya ziwa amesema ufunguzi wa kanda hiyo tangu machi 20, 2024 ili kuhudumia mikoa ya Mwanza, Simiyu, Kagera na Mara umelenga kusogeza huduma kwa wadau wa ununuzi walio kenye ukanda huo pamoja na kutoa mafunzo kwa wazabuni.

"Lengo kuu la ufunguzi wa kanda hizo umelenga kusogeza huduma kwa wadau na kwamba katika kuhakikisha wanawaunganisha watumishi walio kwenye mamlaka za Serikali za mitaa pamoja na taasisi zingine tayari tumetembelea halmashauri zote pamoja na taasisi kuwapa mafunzo." Mkobya.

Aidha, Mhandisi Mkobya ametumia wasaa huo kuwataka taasisi kutoa mafunzo kwa wadau na wazabuni ili wapate uelewa wa kutosha ili kuondokana na changamoto za utumizi wa mfumo huo kutokana na ugeni kwenye masuala ya ununuzi na ugavi kwani miaka ya nyuma ambapo ulikua  hautumiki mfumo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.