• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA MBIONI KUWAKUTANISHA MAAFISA USAFIRISHAJI NA TAASISI ZA KIFEDHA

Posted on: September 25th, 2024

RC MTANDA MBIONI KUWAKUTANISHA MAAFISA USAFIRISHAJI NA TAASISI ZA KIFEDHA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewahakikishia kuwakutanisha na taasisi za fedha mara watakapokuwa tayari Maafisa usafirishaji wa Bajaj na Bodaboda baada ya kuweka bayana changamoto za kuendesha shughuli zao na wamiliki wa vyombo wanavyotumia.

Akiwa katika zoezi la kuzungumza na makundi mbalimbali leo Septemba 25,2024 kwenye viwanja vya Furahisha ikiwa zamu ya kundi hilo, Mhe. Mtanda amebainisha lengo la Serikali ya awamu ya sita ni kuona wanaojiajiri wanafanya shughuli zao kwa tija.

Amesema Serikali inatambua mchango wa maafisa usafirishaji hao katika kujenga uchumi wa nchi hivyo atahakikisha changamoto zinazowakabili zinafikishwa kwenye Taasisi za kifedha ili ufumbuzi wa kuwakwamua upatikane.

"Sasa mjipange na kuniambia lini mtakuwa tayari ili niwaitishie mkutano na Taasisi za fedha ili mzungumze yote ya yanayowakwamisha",Mkuu wa Mkoa.

"Ndugu yetu Mkuu wa Mkoa awali ya yote tumefarijika kuja kuzungumza nasi,wengi tumeingia mikataba ya kuendesha vyombo hivi na wamiliki ili baadaye viwe chini yetu, lakini tunajikuta tukilipa fedha nyingi kuliko Ile bei halisi na wengine wakishindwa na kuingia katika migogoro,"Zakayo Mashamba,Katibu chama cha Maafisa usafirishaji.

Katika mkutano huo Mkuu huyo wa Mkoa amewakumbusha umuhimu wa  kushiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa Novemba 27 mwaka huu na kujiandikisha pia kwenye daftari la kudumu la kupiga kura kuanzia Oktoba 11 hadi 20.

Aidha  amewataka kuendelea kuilinda na kuitetea amani yetu kwa kutokubali kutumika kisiasa na badala yake kuchapa kazi na kushirikiana na vyombo vya usalama pindi waonapo dalili au mtu yoyote anaetaka kuivunja amani yetu.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.