• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RMO MWANZA ASISITIZA MLO KAMILI NA UFANYAJI WA MAZOEZI KWA WAKATI

Posted on: March 22nd, 2025

RMO MWANZA ASISITIZA  MLO KAMILI NA UFANYAJI WA MAZOEZI KWA WAKATI


Mganga Mkuu Mkoa wa Mwanza Dkt. Jesca Lebba amewasisitiza Watumishi wa umma na Wananchi kuzingatia mlo kamili na kufanya mazoezi kwa  lengo la kuboresha afya na kuepuka magonjwa yasiyo ya kuambikiza yanaongezeka kwa kasi nchini.

Dkt. Lebba ameyasema hayo asubuhi ya leo tarehe 22 Machi, 2025 alipokuwa akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza mara baada ya kuhitimisha matembezi ya kila jumamosi ya tatu ya mwezi kwa watumishi.

Mganga Mkuu amebainisha kuwa mazoezi ni sehemu muhimu sana katika maisha ya binadamu kwa lengo la kuimarisha Afya na kuwa imara muda wote na kwamba yanasaidia mwili kupambana na bakteria na vimelea vyemelezi vya maradhi mbalimbali kwa kuupa kinga imara mwili.

“Mazoezi ni sehemu muhimu sana ya kuimarisha mwili na Afya yako, yanasaidia kuuufanya mfumo wa mwili kuweza kufanya kazi vizuri, husaidia pia kupunguza magonjwa yasiyoambukiza, kupunguza msongo wa mawazo na changamoto nyingine katika miili yetu”. Amesema.

Aidha, ameongeza kwa kuwataka wananchi na watumishi kuzingatia mlo kamili pamoja na mazoezi Ili kuweza kuruhusu mwili kuepuka changamoto za maradhi kama kisukari na saratani, magonjwa ya moyo, yote hayo yana gharama kubwa sana na yana zuilika kwa mazoezi na kubadilisha mtindo wa maisha hususani kwenye kuzingatia lishe Bora na mlo kamili.

“Muhimu tuhakikishe tunapata mlo kamili, lishe bora, mazoezi, kunywa maji mengi na kula matunda Ili kuweza kusaidai mfumo wa mwili Ufanye kazi yake kwa ufasaha”. Amesisitiza Mganga Mkuu.

Kwa upande wake mshiriki wa matembezi  hayo Elizabeth lupindo ameishukuru Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa mwanza kwa kuanzisha utaratibu huo wa mazoezi kwa maana unawapa hamasa, nguvu na hata kupunguza vitambi kwa baadhi yao, huku akizidi kuomba matembezi hayo yawe endelevu.

Matembezi hayo maalumu ya kuzuia magonjwa yasiyo ambukiza kwa watumishi na Wananchi yanalenga kuimarisha afya, yalizinduliwa rasmi Januari 18, 2025 hivyo ni mwendelezo na hufanyika kila jumamosi ya tatu ya mwezi .

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.