• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Rushwa

Posted on: April 11th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mkoani Mwanza Mhe,Hassan Masala amewataka Walimu na Viongozi wa Skauti wanaoendelea kupata Mafunzo ya kutokomeza rushwa Mkoani humo kutumia nafasi hiyo vyema kuelimisha Jamii ili kujenga vizazi vyenye weledi wa kulijenga Taifa

Mkuu huyo wa Wilaya ametoa kauli hiyo kwa niaba yake na Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilemela,Said Kitinga wakati akifunga Mafunzo ya kutokomeza rushwa kwa Walimu walezi na Viongozi wa Skauti  Wilayani humo amewakumbusha Washiriki hao rushwa ni adui wa haki hivyo haina budi kupingwa kwa nguvu zote.


Amesema kwa kutambua mchango wa Walimu katika uelimishaji Jamii huku Vijana nao wakiwa ndiyo nguvu kazi ya Taifa,Makundi hayo yataleta matokeo chanya  kwa Jamii baada ya kupata mafunzo hayo.


Kamanda wa Takukuru Wilaya ya Ilemela,Nobert  Ndika amesema bado Jamii inahitaji elimu ya mara kwa mara kuhusu aina za rushwa na madhara yake.

Mkuu wa Dawati la Uelimishaji kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na rushwa Wilayani Ilemela,Doreen Ntongani amesema Jamii ikipata uelewa wa kutosha kuhusiana na ubaya wa rushwa ni dhahiri nchi itakuwa na watu wenye kuheshimu majukumu yao bila kuwanyanyasa wengine, huku baadhi ya washiriki wakiipongeza Serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe Rai's Samia Suluhu Hassan kwa jitihada zake za kutaka kuwa na Jamii yenye kuishi kistaarabu


Mafunzo hayo ya kutokomeza rushwa yanayofanyika nchi nzima,yalizinduliwa Kitaifa Mkoani Dodoma mwaka Jana na Mhe Rai's Samia Suluhu Hassan na kuendelea ngazi ya Mkoa na Wilaya nchini kote.


Taasisi ya kuzuia na Kupambana na rushwa, Takukuru pamoja na Chama cha Skauti Taifa wamepewa jukumu hilo la kutoa Mafunzo hayo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.