• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

SAMIA TEACHER'S MOBILE CLINIC YAZINDULIWA MWANZA

Posted on: February 22nd, 2025

SAMIA TEACHER'S MOBILE CLINIC YAZINDULIWA MWANZA


Kampeni ya Samia Teacher's Mobile Clinic imezinduliwa rasmi Mkoani Mwanza ikiwa na lengo la kusikiliza na kutatua changamoto na kero zinazowakabili walimu Mkoani Mwanza na nchi nzima kiujumla.

Uzinduzi huo umefanyika katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Loreto Wilayani Ilemela leo Februari 22, 2025 na kuhudhuriwa na Walimu kutoka Wilaya za Ilemela, Magu na Ukerewe.

Akizungumza katika uzinduzi huo, Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Bw. Balandya Elikana amesema Serikali Mkoani humo inaendelea na jitihada za kutatua changamoto za walimu ambapo kila siku ya jumanne Ofisi ya Mkuu wa Mkoa imekuwa ikisikiliza kero za wananchi mbalimbali wakiwemo Walimu.

“Tusiishie hapa tu, hata kliniki itakapokwisha nawashauri mfike Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Ofisi ile ni yenu na iko wazi wakati wowote ule”.

Halikadhalika, Katibu Tawala amewahakikishia Walimu hao kuwa yeye kama Kiongozi wa Utumishi katika Mkoa wa Mwanza atahakikisha anasimamia haki na uwajibikaji kwa Walimu na hatasita kumchukulia hatua yoyote yule atakaekwenda kinyume na utaratibu, miongozo na kanuni za kiutumishi.

Kwa upande wake, Makamu wa Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Mwl. Suleiman Komba, amesema kampeni hiyo inalenga kuwafikia walimu wote wenye changamoto na amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia kwa kuruhusu na kukubali kampeni hiyo ikawafikie walimu.

Sambamba na hilo amewataka Walimu hao kutimiza wajibu wao kwa kila Mwalimu kusimamia somo alilopewa kikamilifu kama ambavyo Mhe. Rais Dkt. Samia alivyoruhusu walimu hao kusikilizwa na kutatauliwa changamoto zao.

Mwanza unakuwa Mkoa wa 19 kufikiwa na kampeni hiyo tangu kuzinduliwa kwake aidha kliniki hiyo kwa siku ya kesho tarehe 23 Februari 2025 inatarajiwa kuendelea katika Wilaya za Kwimba, Misungwi na Nyamagana.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.