• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Sekondari ya Maisome Yaonywa Utoro

Posted on: April 16th, 2019

Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella ameahidi kuunda tume ili kuchunguza suala la utoro linaloikabili shule ya sekondari Maisome wilayani Sengerema baada ya kuelezwa kuwa ni wanafunzi 29 tu kati ya 80 waliohitimu kidato cha nne mwaka jana.

Mhe. Mongella amechukua hatua hiyo baada ya kupokea mradi wa jengo la utawala na samani ya shule ya sekondari Maisome uliotekelezwa na shirika la hifadhi la taifa ( TANAPA)  ambapo amewataka wazazi, watendaji na wadau wa elimu kuchukua hatua za haraka kujenga mabweni kudhibiti suala la utoro shuleni hapo.

Mhe. Mongella ameongeza kuwa licha ya elimu bure bado wanafunzi wengi wameendelea kukosa elimu kutokana na uduni wa kipato na mimba za utotoni ambazo chanzo kikuu inadaiwa ni wanafunzi kulazimika kutembea umbali mrefu kila siku kusaka elimu na katikati ya njia hukumbana na vishawishi vingi.

Kutokana na kiwango kikubwa cha utoro Mkuu wa mkoa wa  Mwanza Mhe. John Mongella ameahidi kuchunguza suala hilo.

Baadhi  wanaamini ujenzi wa mabweni unaonekana kuwa suluhisho la tatizo la utoro na mimba za utotoni.

Mbali na kuzindua jengo la utawala la shule ya sekondari Maisome  Mhe. Momgella pia ametembelea na kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa sekondari ya Kasisa, na ujenzi wa hospitali ya Halmashauri ya Buchosa wilayani Sengerema.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 05, 2021
  • Tangazo kuhusu uhamisho wa ndani na nje ya Mkoa wa Mwanza. January 05, 2021
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MKOA WA MWANZA MWAKA 2021 February 05, 2021
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2018 Shule za Sekondari za Serikali Mkoa wa Mwanza December 13, 2017
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC Gabriel atoa Pikipiki 13 kwa RUWASA na vyombo vinavyotoa huduma za maji Mwanza

    June 29, 2022
  • Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba yatoa dawa Zahanati ya Gereza la Butimba Mwanza

    June 29, 2022
  • Wataalam wa Afya Halmashauri za Mwanza watakiwa kuongeza bidii ya kazi ili kuiboresha Sekta hiyo

    June 29, 2022
  • RC Mwanza azitaka Halmashauri kuwa na nidhamu ya matumizi ya fedha

    June 28, 2022
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Regional Drive Mkabala na Ofisi za TRA

    S.L.P: S.L.P. 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras.mwanza@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.