• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

SERIKALI MKOA WA MWANZA KUENDELEA KUWAUNGA MKONO WAFANYABIASHARA WAKUBWA NA WADOGO

Posted on: February 6th, 2025

SERIKALI MKOA WA MWANZA KUENDELEA KUWAUNGA MKONO WAFANYABIASHARA WAKUBWA NA WADOGO


Serikali Mkoa wa Mwanza imedhamiria kuwaunga mkono Wafanyabiashara mbalimbali Wakubwa na wadogo wanaopatikana katika Mkoa huo kwa kuwa Serikali ya Rais Samia inathamini mchango wao katika kukuza uchumi wa nchi.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda alipokuwa akizungumza katika hafla ya kuitambulisha Kampuni ya AI Mansour Auto Tanzania, Isuzu East Africa na MRC Motors ambao ni wauzaji wa magari mapya ya Isuzu Jijini Mwanza.

Mkuu wa Mkoa amesema Serikali ya Rais Samia imeimarisha uchumi na usalama kwa hali ya juu na amewatoa hofu Wafanyabiashara hao kuwa na amani hata wakileta magari zaidi ya mia tano Mkoani Mwanza wajue kuwa yapo sehemu salama.

Aidha Mkuu wa Mkoa amesema kampuni hiyo ya Isuzu kuja kuwekeza katika Mkoa wa Mwanza hawajafanya makosa kwani ni mkoa wa kimkakati na wenye idadi kubwa ya watu ukiwa pia ni kitovu cha uchumi wa Mikoa 7 ya Kanda ya Ziwa.

“Nyie wenyewe kupitia Bwana Ochieng mmekiri kwamba hata mteja wenu wa kwanza alitoka Mkoa huu kwa iyo mnapofanya Mwanza kama sehemu yenu ya biashara nyie ni wachumi wazuri na mnafahamu kuhusu soko lilipo”.

Sambamba na hayo ametoa wito kwa Wananchi kutembelea ofisi za Isuzu Mwanza ili waweze kupata huduma za magari na sasa si lazima kwenda Dar es Salaam yameletwa hapa na kizuri zaidi wanauza magari toleo la kwanza na sio yale yaliyotumika.

Naye Mkurugenzi wa Wateja kutoka Kampuni ya Isuzu Afrika Mashariki Bw. Kelvin Ochieng amesema Isuzu ni kampuni inayothamini wateja wake na kwa miaka 5 tangu kuanzishwa kwake wameshauza magari zaidi ya 1200.

Aidha amesema kwa hapa Mwanza wamekuwa wakiungwa mkono na wadau wengi kutoka makampuni na mashirika mbalimbali ya serikali na kuwataka Wafanyabiashara na wadau kuwaunga mkono.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.