• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Serikali yatoa vitabu 38,891 Shule za Msingi Ukerewe

Posted on: August 7th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella amekabidhi vitabu 38,891 vya darasa la nne kwa shule zote za msingi Wilayani Ukerewe.

Akiongea katika makabidhiano hayo Mhe.Mongella amesema Ofisi ya Rais TAMISEMI imeendelea kutilia mkazo juu ya elimu na kuona umuhimu wa kuhakikisha wanafunzi wote wanapata elimu stahiki na kutoa vitabu kwa wanafunzi wa darasa la nne kwa shule zote Mkoa wa Mwanza.

"Vitabu vilivyotolewa ni 6,482 kwa kila somo kwa masomo ya Hisabati,Kiinhereza,Kiswahili, Uraia na Maadili,Sayansi na Teknolojia na Maarifa ya Jamii hii inapelekea jumla ya vitabu 38,891,"alisema Mongella.

Kwa upande wake Afisa Elimu Msingi Ukerewe Mwl.Reginald Peter Richard akizungumzia hali ya elimu  katika Wilaya hiyo amesema hali inaenda inabadirika kutoka walipokuwa kwani mwaka 2017 walifaulu kwa 52.7% lakini kwa mwaka 2018 kwa matokeo ya Mock yaliyotoka mwezi huu mwanzoni wamepanda kwa 61.5%.

"Malengo yetu ya Wilaya  ni kufikia asilimia 80 na tumeishajipanga na tutafikia aailimia hizo kwani kwa kila shule sasa hivi tumeweka kambi kulingana na jografia kikata na kuunganisha shule 3

kama mikakati ya kuboresha  na kuonfoa daraja "D" na "E" na kufaulu kwa A B C na lazma tutafikia huko,"alisema Mwl.Reginald.

Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Bw.Frank S.Bahati ameishukuru Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia kwa Rais wake Mhe. Dkt.John Magufuli kwa kuliana hili na kuwaletea vitabu ili kupunguza tatizo la upungufu  wa vitabu katika Shule za Msingi.

"Sisi kama Wilaya tunaahidi kuvitunza vitabu hivi na kuvitumia kwa malengo tarajiwa ili kuinua kiwango cha ufaulu katika Wilaya yetu,"alisema Bahati.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.