• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

SUMATRA Yatoa elimu ya huduma ya usafiri wa Abiria mijini

Posted on: June 27th, 2018

Mamlaka ya usafiri wa Nchi kavu na majini (SUMATRA) imetoa mafunzo kwa wafanyabiashara na wamiliki wa magari ya kubeba abiria wa Mkoa wa Mwanza na Mikoa ya jirani ili kuboresha mfumo wa usafirishaji na kutatua changamoto za misongamano ya daladala mijini.

Akizungumza wakati wa kutoa mafunzo hayo, Meneja leseni wa kanda ya ziwa Leo Ngowi alisema, Mkoa wa Mwanza una daladala 3,240 kati ya hizo 2,800 zinauwezo wa kubeba abiria 20.

Mikoa mingine ni Geita wenye daladala 950 kati ya hizo 530 ndizo zenye uwezo wa kubeba abiria 20 na Mkoa wa Mara una daladala 1,360 zenye uwezo wa kubeba abiria ni 1300.

Mkurugenzi wa Sumatra Nchini Gilliard Ngewe alisema wameamua kufanya mafunzo hayo ili kuwaandaa wamiliki kisaikolojia pindi mabasi makubwa ya abiria yatakapo wasili, kutatua changamoto za msongamano wa daladala mijini na kupunguza hewa ya ukawa inayotokana na daladala.

“Licha ya kupunguza msongamano barabarani lakini pia madereva na makondakta watapata ajira kwa kulipwa stahiki zao na pia wamiliki watakaojiunga na vyama vya ushirika au kuwa na makampuni watapunguza garama za uendeshaji kwa kuwa basi moja linauwezo wa kubeba abiria 90 sawa na mabasi madogo sita ya abiria”alisema Ngewe.

 

Naibu Mrajisi tume ya maendeleo ya ushirika Charles Malunde alisema kuna zaidi ya wanachama millioni 9 nchi nzima, na kuwasihi wamiliki wa gari za abiria wajiunge na vyama vya ushirika kwa maendeleo yao na Taifa.

Naye, Mwenyekiti wa chama cha madereva wa daladala kanda ya Ziwa Dede Petro alisema hatua hiyo itawasaidia wananchi kupunguza gharama ya usafiri kwa kuwa na huduma bora pamoja na ajira za kudumu kwa madereva na makondakta.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.