• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

TAMISEMI “Watakao chukua Pesa ya kujikimu na kutoweka kukiona”

Posted on: July 13th, 2017

Serikali imeonya na kusema, walimu 381 na mafundi sanifu wa maabara 137 ambao mara baada ya maombi yao kupitishwa na kupangiwa kazi wanapaswa kuripoti katika vituo hivyo vya kazi walivyo pangiwa na  watakaochukua fedha na kisha kutoweka kwenye vituo vya kazi watachukuliwa hatua kali za kishesheria ikiwapo kufikishwa mahakamani.

Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) Mhandisi Mussa E. Iyombe na kusambazwa kwenye vyombo vya habari na tovuti hii kufanikiwa kupata nakala yake imesema, wale wote waliopangiwa vituo hivyo vya kazi watatakiwa kuripoti katika vituo vyao kati ya tarehe 17 na 21 Julai, 2017.

“Mwajiriwa atakaye chukua posho ya kujikimu na badaye kutoripoti na kuanza kazi katika kituo chake cha kazi alichopangiwa atachukuliwa hatua kali kwa mujibu wa sheria” imenukuliwa taarifa hiyo.

Taarifa hiyo imeongeza kuwa, wale wote waliochaguliwa na kujiunga na utumishi wa umma watatakiwa kuripoti katika vituo vyao kazi wakiwa na vyeti halisi vya kuhitimu kidato cha nne na cha sita, cheti cha kuhitimu taaluma husika sambamba na cheti cha kuzaliwa.

Aidha taarifa hiyo imefafanua kwamba, hakuta kuwa na uhamisho ndani ya mkoa au wilaya bila idhini ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), huku ikiwataka wakurugenzi wa Halmashauri kufanya taratibu zote za ajira na kuwasilisha taarifa ifikapo tarehe 25 Julai, 2017.

Ajira hizo zimetolewa kwa walimu wa Sayansi, Hisabati pamoja na Mafundi Sanifu kwa shule za Sekondari kwa awamu ya pili ikiwa ni adhma ya Serikali kuhakikisha inamaliza matatizo ya mahitaji ya walimu nchini.

Soma majina yote kupitia  www.mwanza.go.tz 

Majina.ORODHA YA MAFUNDI SANIFU WA MAABARA (LABORATORY TECHNICIANS) WA SHULE ZA SEKONDARI WALIOPANGIWA VITUO VYA KAZI-2017-2.pdf,ORODHA YA WALIMU WENYE STASHAHADA AU SHAHADA YA SAYANSI NA HISABATI WALIOPANGIWA VITUO VYA KAZI AWAMU YA PILI-2017-2.pdf



Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • LENGO LA HOSPITALI ZA WILAYA NI KILA MWANANCHI APATE HUDUMA MAHALI ALIPO - WAZIRI MKUU

    May 19, 2025
  • MITAMBO YA KUOPOA MAGUGUMAJI KUWASILI MWISHONI MWA MWEZI JULAI.

    May 19, 2025
  • WAZIRI MKUU AWATAKA WANAMALYA KUCHANGAMKIA FURSA YA CHUO CHA MICHEZO

    May 18, 2025
  • NIA YA SERIKALI KILA MWANANCHI AUNGANISHIWE MAJI NYUMBANI KWAKE - WAZIRI MKUU

    May 18, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.