• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

TANESCO SACCOS Yatoa msaada wa mashuka Hospitali Nchi nzima

Posted on: May 20th, 2018

Chama cha Ushirika cha Akiba na Mikopo TANESCO (TANESCO  SACCOS LTD),Tawi la Mkoa wa Mwanza kimetoa msaada wa mashuka 140 kwa Hospital ya Rufaa ya Mkoa Sekou Toure Mkoa wa Mwanza.

Akikabidhi mashuka hayo Meneja wa TANESCO SACCOS  LTD Taifa Andre Hilary amesema iko haja ya wadau wengine kuthamini watu wenye mahitaji maalumu katika kukabiliana na changamoto mbalimbali za maisha.

Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo Tanesco kiliandikishwa mwaka 1843 na kupata namba ya usajili mwaka 1968  ambapo Uanachama ndani ya TANESCO SACCOS uko wazi kwa Wafanyakazi wa Shirika la Umeme – TANESCO, Wafanyakazi wa TANESCO SACCOS, Wastaafu wa TANESCO, Wafanyakazi wa muda Maalum wa TANESCO, Wafanyakazi wa Wizara ya Nishati na Madini na  Kampuni au Taasisi zilizo katika sekta ya Nishati.

“Chama hiki kilianzishwa kikiwa na lengo la kuhamasisha wanachama wake kujenga tabia ya kujiwekea akiba na kuwapa fursa ya kukopa kwa riba nafuu kwa ajili ya kukidhi mahitaji mbalimbali ya kijamii na kiuchumi,”alisema Hilary.

 

TANESCO SACCOS kupitia mpango Mkakati wa miaka mitano 2014-2018 unatekeleza msingi namba 7  wa Ushirika wa kuijali jamii (Concern for the Community). Katika Mpango huo Chama kinatoa msaada  katika sekta ya Afya kwa kutoa Mashuka katika Hospitali za Rufaa za Mkoa Nchi nzima.

 Zoezi hili ni zoezi endelevu lilionza mwaka 2014 kwa taasisi ya magonjwa ya kansa ya Ocean Road  na kuendelea na Hospitali zote nchini.

Mikoa iliyopatiwa msaada kwa mwaka huu ni pamoja na Mwananyamala RRH Dar es Salaam, Songea RRH Ruvuma,Amana RRH,Temeke RRH in Dar es Salaam,Dodoma RRH, Ligula RRH Mtwara, Mbeya Zonal RH, Mount Meru RRH Arusha, Morogoro RRH,hizi Hospitali zote zilipata mashuka 150 kila moja.

 Hospitali ya Kitete RRH Tabora na Geita RRH ambao walipata mashuka 130 kila Hospitali wakati Hospitali ya Sekou Toure RRH imepata mashuka 140 na kukamilisha jumla ya mashuka 1750 yaliyotolewa hadi sasa.

Aidha, Dira ya TANESCO SACCOS ni kuwa SACCOS inayoongoza Nchini Tanzania  inayokidhi mahitaji ya kijamii na kiuchumi ya wanachama wake kupitia huduma bora za kifedha ikiwa na Dhamira ya kuhamasisha na kuimarisha ukusanyaji wa akiba, hisa na amana kupitia utoaji wa elimu ya mikopo na huduma bora kwa wateja.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA SEKTA BINAFSI MWANZA

    May 10, 2025
  • SERIKALI KUNUNUA MTAMBO RASMI WA KUSAFISHA ZIWA VICTORIA

    May 10, 2025
  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.