• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

TCAA Yatoa Mafunzo Shule za Sekondari Nsumba na Nganza

Posted on: October 6th, 2020

Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) watoa mafunzo ya kuwajengea uwezo na uelewa kuhusiana sekta ya usafiri wa  anga wanafunzi wa shule za sekondari ya Nsumba na Nganza Mkoani Mwanza .

Akizungumza katika warsha ya kutoa elimu, Bi  Thamarat Abeid Mkufunzi Mkuu Huduma za Viwanja vya Ndege kutoka Chuo cha Usafiri wa Anga(CATC) kinachomilikiwa na TCAA anasema wanatambua vijana wanaihitaji kujengewa  uelewa kuhusu sekta hiyo na  fursa za ajira  zilizoko kwenye sekta, hivyo anawataka wanafunzi hao kuzingatia masomo ya sayansi ili kufikia azma hiyo.

Ameongeza kuwa TCAA itaendelea kutoa elimu hiyo katika mikoa ya Tanzania bara na Tanzania Zanzibar ili kuwapa  mwangaza utakaosaidia kunufaika kujiandaa vyema, kujiunga   na hatimaye kunufaika  na fursa za ajira katika sekta ya usafiri wa anga.

Naye Mwongoza ndege kituo cha kuongozea ndege kilichopo uwanja wa ndege Mwanza Bw. Benjamin Massery alisema elimu hiyo itawasaidia wanafunzi kutambua wasome masomo gani na ufaulu upi unaohitajika ili  kuingia katika taaluma za usafiri wa anga.

" Tuna upungufu wa wataalam  katika sekta ikiwa ni pamoja na  marubani hivyo lengo letu ni kupata watu wengi hivyo elimu hii itaamusha chachu na kuzalisha wengi hapo tunawajengea uwezo hasa katika eneo la kuongoza ndege , wakati mwingine unakuta wanafunzi anajiuliza afanye nini, tumewapa elimu tambuzi ili mtambue atakayehitaji kuwa muongoza ndege asome kitu gani." Alieleza Massery.

Jofrey Osiro mwanafunzi wa Nsumba na Veronica John kutoka Nganza walisema vijana wengi wanapotea kwa sababu hawajapata ushauri kuhusiana na Mamlaka hiyo hivyo baada ya kufundishwa wamejifunza vitu vingi ambayo vinaweza kuwasaidia katika maisha yao.

' Mama yangu aliniambia ni vigumu sana kuwa rubani lakini mimi sijakata tamaa nina imani nitakuwa rubani ama kufanya kazi katika viwanja vya ndege leo nimejifunza vitu vingi nitayatekeleza kwa kufanya vizuri katika mitihani yangu nipate ufahulu wa juu ili nipate ufadhili wa masomo , nimefurahi sana kujua Tanzania kuna chuo kinachonifanya kutimiza ndoto yangu mwanzo nilitambua hakuna chuo hicho nchini sasa nitaitumia vyema  fursa hiyo". Anaeleza John.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. July 29, 2022
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2022 July 03, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI ICAP October 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TAMISEMI ilivyotumia Wiki ya Kitaifa ya Usalama Barabarani Mkoani Mwanza kwa kutoa huduma mbalimbali kwa jamii

    March 22, 2023
  • RC Malima ataka adhabu kali na marekebisho ya Sheria za barabarani dhidi ya wanaosababisha ajali kwa uzembe

    March 17, 2023
  • Tupo katika mchakato wa Katiba mpya-Mhe.Dkt.Ndumbaro

    March 17, 2023
  • Miaka miwili ya Rais Samia madarakani,Mwanza yajivunia kasi ya miradi ya maendeleo

    March 15, 2023
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 33180, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras.mwanza@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.