• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Tuhakikishe Maafisa Utumishi Wanatekeleza Majukumu yao bila Kikwazo: Waziri Simbachawene

Posted on: August 3rd, 2023

Tuhakikishe Maafisa Utumishi Wanatekeleza Majukumu yao bila Kikwazo: Waziri Simbachawene*


Waziri wa Nchi, Ofis ya Rais, Menejimenti ya  Utumishi wa Umma na Utawala bora Mhe. George Simbachawene amewataka waajiri nchini kuhakikisha wanawajengea uwezo Maafisa utumishi ili waweze kutekeleza majukumu yao ipasavyo.

Waziri Simbachawene ametoa agizo hilo mapema leo tarehe 03, Agosti 2023 wakati akizungumza na watumishi kwenye mapokezi yake alipowasili kwenye Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa ajili ya ziara ya kikazi ya Siku mbili.

Amesema, katika uboreshaji wa sekta za utumishi na Rasilimali watu idara hiyo ina majukumu mazito kama ufuatiliaji wa nidhamu, kupandishwa vyeo na uhuishaji wa taarifa za kiutumishi kwenye mfumo ambapo kwa pamoja zinahitaji umakini na weledi.

"Tuhakikishe Maafisa utumishi wanatekeleza Majukumu yao bila kikwazo ili waweze kuwa na utulivu wa utendaji kazi wenye weledi wakati wote katika kukuza sekta hii muhimu." Amesisitiza Mhe. Simbachawene.

Vilevile, Mhe. Waziri amewaagiza Maafisa utumishi kuhakikisha kujaza taarifa za watumishi kwenye mfumo wa utumishi ili kurahisisha utendaji kama upandishaji wa madaraja na uwajibishaji wa masuala mbalimbali ya kinidhamu.

Akimkaribisha Mhe. Waziri, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Amos Makalla amempongeza kwa utendaji wake mahiri unaodhihirisha dhamira ya Serikali katika kuboresha sekta ya Utumishi na utawala bora nchini na amemuahidi ushirikino katika kipindi chote cha ziara yake mkoani humo.

"Mhe. Waziri sisi tunakushukuru sana kwa kutupa upendeleo maana Mkoa wa Mwanza umekua Mkoa wako wa kwanza kufanya ziara ya kiutumishi na ukaguzi wa miradi inayotekelezwa na wizara yako maana yake sasa upo 'Site'." CPA Makalla.

Waziri Simbachawene yupo Mkoani Mwanza kwa ziara ya kikazi ambapo pamoja na masuala ya kiutumishi anatarajiwa kukagua miradi inayotekelezwa na Mfuko wa kunusuru kaya masikini -TASAF katika wilaya za Kwimba na Misungwi.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.