• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

TUMEPOKEA ZAIDI YA TRILIONI 4 KWA MIRADI YA KIMKAKATI MWANZA: RC MAKALLA

Posted on: March 22nd, 2024

TUMEPOKEA ZAIDI YA TRILIONI 4 KWA MIRADI YA KIMKAKATI MWANZA: RC MAKALLA


*Aishukuru Serikali ya Rais Samia ya kuzidi kujenga kiuchumi Mwanza*


*Asema miradi yote ikikamilika Mwanza itang'ara kiuchumi eneo la maziwa makuu*


Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Mhe. Amina Makilagi leo Machi 22, 2024 ameipokea kamati ya kudumu ya Bunge ya hesabu za Serikali na kuishukuru Serikali ya Rais Samia kwa kuleta mkoani humo zaidi ya Trilioni 4 kwa ajili ya miradi ya kimkakati.


Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Makilagi amesema Rais Samia ameonesha dhamira ya kweli ya kuupaisha kiuchumi mkoa huo kutokana na wingi wa miradi hiyo mikubwa.

"Mhe. Makamu mwenyekiti wa Kamati, Mkoa wa Mwanza kwa miaka mitatu mfululizo tumekuwa na Hati Safi hii maana yake tumetanguliza nidhamu ya matumizi yote sahihi ya fedha za Serikali na hata miradi hii mikubwa tunaisimamia vizuri na itamalizika kwa wakati," Mkuu wa wilaya.

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya hesabu za Serikali ambaye pia ni mbunge wa Jimbo la Vwawa mkoani Songwe, Mhe. Japhet Hasunga amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa kuletewa miradi Mikubwa na pia usimamizi mzuri wa miradi hiyo

"Mkuu wa Mkoa ni mfuatiliaji mzuri wa miradi sisi tumefika hapa kujiridhisha na matumizi sahihi ya fedha za Serikali sitarajii kukutana na changamoto zozote kutokana na usimamizi mzuri wa uongozi wa Mkoa", Mhe.Hasunga

Kamati hiyo ikiwa mkoani Mwanza itatembelea miradi saba inayotekelezwa na fedha za Serikali ukiwemo  ujenzi wa Meli mpya ya Mv Mwanza na ukarabati wa Mv Victoria na Umoja, Ujenzi wa vivuko vya Serikali vinavyojengwa na kampuni ya Songoro Marine,na ujenzi wa Hoteli ya kitalii ya NSSF.

Miradi mingine ni huduma ya usambazaji maji Butimba, Jengo la mama na Mtoto Sekou Toure na Miradi ya barabara inayotekelezwa na TARURA.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.