• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Tumieni Mafunzo ya Kizazi chenye Usawa kuleta Tija kwa Taifa: RAS Balandya

Posted on: January 16th, 2024

Tumieni Mafunzo ya Kizazi chenye Usawa kuleta Tija kwa Taifa: RAS Balandya


Leo Januari 16, 2024 Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Balandya Elikana amefunga rasmi mafunzo ya kizazi chenye usawa kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii kutoka Mikoa 15 na kuwataka kulitumia vyema jukwaa la mafunzo hayo ili yawe na tija kwa Taifa.

Akizungumza na washiriki hao kuanzia ngazi ya mkoa, halmashauri na kata kwenye ukumbi wa halmashauri ya Jiji, Balandya amesema uzingatia wa masuala ya jinsia ni mojawapo ya nguzo muhimu ili kufikia maendeleo jumuishi na endelevu kiuchumi,kijamii,kisasa na kiutamaduni.

Amesema Serikali kwa kuona umuhimu wa mafunzo hayo imewashirikisha ili kwenda kuleta mageuzi chanya ya usawa wa kijinsia na uwezeshaji wanawake hapa nchini.

"Ndugu washiriki mkumbuke mkutano wa kimataifa wa Beijing mwaka 1995 nchi yetu ilichagua kutekeleza maeneo 5 kati ya 12 ambayo ni uwezeshaji wanawake kiuchumi, kutokomeza vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake na watoto, kuongeza ushiriki wa  wanawake katika nafasi za uongozi na maamuzi,elimu,ajira na mafunzo pamoja na kuingiza masuala ya jinsia katika sera, na bajeti za kisekta,"Katibu Tawala mkoa.

Kwa upande wake Mkurugenzi msaidizi Idara ya jinsia kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii,jinsia,wanawake na makundi maalum Juliana Kibonde amesema kipindi cha mafunzo hayo ya siku mbili washiriki wamefundishwa namna ya kubuni na kuandaa mikakati mbalimbali ya kiutekelezaji kwenye maeneo yao ya kazi ikiwemo mkakati wa mawasiliano.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.