• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

TWCC KANDA YA ZIWA WAMSHUKURU RC MTANDA KWA USHIRIKIANO

Posted on: January 9th, 2025

TWCC KANDA YA ZIWA WAMSHUKURU RC MTANDA KWA USHIRIKIANO


Uongozi wa Chemba ya Wanawake Wafanyabiashara Kanda ya Ziwa leo Januari 09, 2025 wamemtembelea Ofisini kwake Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda na kumshukuru kwa ushirikiano anaowapatia, kadhalika kuwawezesha kuelekea Mkoani Dar es Salaam kushiriki uchaguzi.

Akizungumza mara baada ya kuwasili Ofisini hapo, Mkurugenzi wa Chemba ya Wanawake Wafanyabiashara Kanda ya Ziwa Bibi Happiness Mabula amesema anamshukuru Mhe. Mkuu wa Mkoa kwa moyo wake wa ukarimu na kumuomba kuendelea kuwa mlezi wa chemba hiyo.

“Tunakushukuru na tumefanikiwa kushiriki maeonesho ya jua kali Sudan Kusini na tumewakilisha vyema Mkoa wa Mwanza licha ya kuwepo kwa changamoto kadhaa”.

Aidha amemuomba Mkuu wa Mkoa kuwasaidia kupata usafiri ambao Mhe. Rais Dkt. Samia amekuwa akiwasaidia Wanawake wajasiriamali magari ya mizigo na magari ya abiria ili nao kama Kanda ya Ziwa bado hawajafikiwa na msaada huo hivyo wamewasilisha ombi hilo ili Mkuu wa Mkoa aweze kuwasaidia.

Akizungumza mara baada ya kuwakaribisha Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewashukuru na kuwapongeza kwa kuwa katika masuala ya biashara changamoto lazima ziwepo lakini hawajaweza kukata tamaa bali wamepata uzoefu.

Aidha kuhusu usafiri wa Mama Smaia amewahidi kufuatilia na atawaandikia barua rasmi ya umuhimu wa kupata usafiri huo kutokana na ukubwa wa Kanda, na amesema kwa maonesho yajayo atakaa na Maafisa Biashara ili waone namna watakavyowasaidia kwenda na kurudi salama.


“Ofisi yangu hapa kipo kitengo cha biashara na wao wataniunganisha mimi na ninyi na hakuna kitakachokwama na mimi nitaendelea kuwa mlezi wa chemba yenu”.

Sisi hatutafunga milango na hatutachoka kwamba wamekuja juzi tu mbona leo tena wamekuja? aah kwa sababu maisha hayasimami yanaendelea hivyo tutaendelea kuwapa ushirikiano Ameongeza Mkuu wa Mkoa.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.