• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Ujenzi wa meli Mpya ziwa Victoria unakwenda kwa kasi

Posted on: May 15th, 2020

WAZIRI wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano Mhandisi Isaack Kamwelwe amepokea injini mbili za ujenzi wa meli mpya ya ‘’Mv Mwanza hapa kazi tuu’’ na kuwataka wakandarasi waliopewa zabuni ya ujenzi wa meli hiyo kufanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha meli hiyo kwa wakati.

Alisema ni wakati wa wananchi kufaidi matunda na mambo mazuri yaliofanyika na serikali ,alitoa msisitizo kwa wananchi wote watakao husika katika utekelezaji wa mradi huo na watakaotumia miundombinu baada ya kukamilika kuhakikisha wanautunza ilivizazi vijavyo viweze kuitumia kwa kuwa inatokana na kodi  wanazolipa

Akitoa taarifa ya ujenzi wa meli wa meli hiyo mpya mtendaji mkuu wa kampuni ya huduma za meli nchini ( MSCL) Erick Khamis anaeleza hatua zilizofikiwa za ujenzi wa meli mpya.”Mv Mwanza hapa kazi tuu”alisema  hadi mradi umefikia asilimia 65 kwa usanifu meli na ujenzi huku uungaji wa chuma ikiwa ni asilimia 15 hivyo atua ya upokeaji wa injini ni atua muhimu katika utekelezaji wa mradi huo huku ukiashiria maendeleo makubwa.

Wah. John Mongella na Adam malima ni baadhi ya wakuu wa mikoa ambayo meli hiyo itafanya safari zake walisema miundombinu ya kimikakati  itachangia kuleta kasi ya maendeleo ya nchi hivyo wananchi wa maeneo hayo wataitumia fursa hiyo kubwa itakayoleta tija kwenye shughuli za kimaendeleo .

Meli hiyo ya  Mv Mwanza hapa kazi tuu kwa sasa ujenzi wake umefikia asilimia 65 na imegharimu kiasi cha shilingi Bilioni 89.7   ambapo inatarajiwa kukamilika mapema mwaka 2021 na itafanya safari zake katika mikoa ya Mwanza,Kagera,Mara,na nchi za jirani ikiwemo Kenya na Uganda.


Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA SEKTA BINAFSI MWANZA

    May 10, 2025
  • SERIKALI KUNUNUA MTAMBO RASMI WA KUSAFISHA ZIWA VICTORIA

    May 10, 2025
  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.