• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Vijana watakiwa kuanzisha Miradi endelevu

Posted on: June 18th, 2021


Manspaa  ya Ilemela imetakiwa kuanzisha miradi itakayowawezesha vijana kujiajili ili waweze kurejesha mikopo ipasavyo baada ya  kundi hilo kutuhumiwa kutorejesha mkopo.

Kauli hiyo  imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Robert Gabriel Luhumbi wakati wa kujadili utekelezaji wa hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali kwa hesabu za Halmashauri kwa kipindi cha 2019/2020 kwa Manspaa hiyo.

Alisema baada ya hoja kueleza kutorejeshwa kwa mkopo iliyotolewa kwa vikundi vya wanawake ,vijana na wenye ulemavu zaidi ya Milioni 156 huku Mkurugenzi wa manspaa hiyo John Wanga kueleza mikopo isiyorejeshwa ni vijana, kwani vijana hawarejeshi tofauti na akinamama ambao wanafanya vizuri kwenye urejeshaji.

Hata Hivyo Mhandisi Robert ameiagiza Manspaa hiyo kubuni namna ya utoaji mkopo ambapo wanaweza kuwaanzishia miradi ambayo itawajenga na kuweza kujiajili na kuajili vijana wengine .

" Vijana ni tofauti na akinamama wenyewe unaweza kuwapa fedha wakitoka nje wanagawana lakini mkiwawezesha wakafungua kiwanda mfano cha kufyatua matofali hiyo itawasaidia kujiendesha ,kuajili watu wengine na wakarejesha mkopo vyema na kuondokana na ilo tatizo" alieleza.

Aidha aliwasihi madiwani kufatilia miradi na kutokuweka mtu sehemu yenye mapato ,wadhibiti mapato kwa pamoja wawe kitu kimoja ,wanasheria kuwa wazalendo na kuwa na nidhamu kwenye fedha sambamba na wataalum kuwa na kasi ya kujibu hoja Kama mkaguzi alivyosema pamoja na kuongeza vyanzo vingine vya mapato ili waweze kujiimarisha zaidi.

Kwa upande wake Mkurugenzi John Wanga amesema watahakikisha wanabuni miradi itakayowawezesha vijana kujiajili na kuondokana na mfumo uliokuwepo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA SEKTA BINAFSI MWANZA

    May 10, 2025
  • SERIKALI KUNUNUA MTAMBO RASMI WA KUSAFISHA ZIWA VICTORIA

    May 10, 2025
  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.