• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Wahandisi 40 Waapishwa Mwanza

Posted on: February 5th, 2020


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella amefungua kikao  cha hafla ya kuwaapisha Wahandisi wa Kanda ya Ziwa na kuwataka kujitahidi kuishi kwa viapo vyao kwani kwa kukiuka kiapo ni kuvunja sheria.

"Unapoapa hadharani ni kuapa kwa Mungu wako,ishini viapo vyenu... niwaambie sehemu zenye Wahandisi wanawake kazi hufanyika kwa ubora zaidi hii inamaanisha wanaishi viapo vyao na kutunza uadilifu katika kazi wanazopewa,alisema Mhe.Mongella.

Aidha, Mongella ameongeza kuwa Wahandisi wanafanya kazi nzuri wajiamini mara nyingi hukesha katika kazi, hivyo wana uwezo mkubwa nawaasa wawe na moyo wa kuthubutu kwa kufanya hivyo watasonga mbele zaidi.

"Jitahidini kujenga misingi ya ujasiliamali katika fani mlizosomea,wengi mna uwezo wa kubuni na kufika mbali ila hamjapata mori ya uthubutu,alisema Mhe.Mongella.

Akizungumza wakati wa kikao hicho Msajili wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi(ERB) Mhandisi Patrick Balozi  amesema jukumu kubwa ya Bodi ni kusajili Wahandisi wa kada zote, kusimamia na kuratibu mienendo ya Wahandisi na shughuli zao zinazofanywa pamoja na Makampuni mbalimbali ya kihandisi.

"Bodi ya Usajili wa Wahandisi ni Taasisi ya Serikali iliyoanzishwa  chini ya Sheria ya Bunge namba 15 ya 1997 na kufanyiwa marekebisho chini ya sheria na 24 ya mwaka 2007, alisema Mhandisi Balozi.

Naye Hakimu Mkazi Mahakama ya Mkoa wa Mwanza  Mhe.John Jagadi akitoa kiapo kwa Wahandisi hao amesisitiza kuwa Wahandisi watakaposhindwa kutimiza yale waliyoapa ndipo vyombo vya kisheria huchukua hatua staiki.

Kwa upande wake Mtendaji Mkuu wa huduma za Meli Tanzania Eric Hamissi amesema katika maeneo ambayo yanategemewa sana kwa maendeleo ni maeneo yanayosimamiwa na Wahandisi na kuwataka kuendelea kuwa waaminifu katika taaluma yao.

"Nashukuru mnapotutembelea katika miradi yetu mnakwenda kukutana na Wahandisi mbalimbali wakiwemo Wahandisi wa Cherezo ambao ni mradi mpya kwa hapa kwetu Tanzania naimani mtaongeza maarifa zaidi,alisema Eric.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.