• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

WANAHABARI WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA KURIPOTI TAARIFA BINAFSI

Posted on: March 22nd, 2025

WANAHABARI WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA KURIPOTI TAARIFA BINAFSI

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi Tanzania (PDPC) Dkt. Emmanuel Mkilia amewataka waandishi wa habari kuzingatia sheria ya Tume hiyo katika kutoa taarifa binafsi za wananchi ili kulinda utu na faragha.

Dkt. Mkilia ametoa rai hiyo leo Jumamosi Machi 22, 2025 wakati akifungua mkutano na semina ya Waandishi wa Habari ambao tume hiyo imewaandalia ili kuwajengea uwezo juu ya majukumu ya tume hiyo nyeti.

Amesema, kuna madhara ya kijamii na hata kiuchumi endapo faragha za mtu zitazagaa bila ya ruhusa yake hivyo ni wasaa mzuri sasa wanahabari kufahamu sheria iliyoanzisha Tume hiyo na kuzingatia.

Ameongeza kuwa, pamoja na changamoto za kidigitali ambazo zinakuja kwa kasi Duniani kote bado wanahabari na wananchi wote wana wajibu wa kulinda siri za mtu ili kulinda utu wake pasipo kuathiri biashara ya kimtandao.

“Tumekuja Mwanza pamoja na mambo mengine tumekuja kuwajengea uwezo taasisi mbalimbali ili wapate uelewa wa sheria iliyoanzisha tume hii mwaka 2022 kwa sheria namba 11 na ikaanza kazi rasmi Mei 01, 2023 pamoja na uelewa wa ujumla wa ulinzi wa taarifa binafsi.” Dkt. Mkilia.

Akiwasilisha mada ya asili ya tume hiyo, Mhandisi Stephen Wangwe amebainisha kuwa Mkoa wa Mwanza upo chini kwa taasisi zake kujisajili kwenye mfumo wa tume hiyo na kwamba hali hiyo inatoa kiashairia kwamba Taarifa za watu bado haziko salama.

Semina hiyo imefanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza huku ikilenga kutoa fursa kujifunza na kujengeana ulewa wa kina jinsi ya kulinda faragha za watu katika kazi za habari.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.