• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

WANANCHI KUTOKA MIKOA YA KANDA YA ZIWA KARIBUNI KUMPOKEA MHE.DKT. SAMIA-RC MAKALLA

Posted on: June 11th, 2023

WANANCHI KUTOKA MIKOA YA KANDA YA ZIWA KARIBUNI KUMPOKEA MHE.DKT. SAMIA-RC MAKALLA


*Awahamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi Tamasha la Bulabo litakalo funguliwa na Chifu Hangaya*


*Awaomba wananchi kumpa mapokezi makubwa kuanzia uwanja wa ndege na kwingineko*


*Wananchi wajitokeze na kumlaki akitembelea Miradi ya Daraja la JP Magufuli,Meli ya Mv Mwanza na kitega uchumi cha NSSF*


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA. Amos Makalla amewaalika viongozi na wananchi wa Mkoa wa Mwanza na mikoa ya jirani kujitokeza kwa wingi kumpokea Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Ziara yake  ya kikazi Mkoani humo inayoanza Juni 12 hadi 15, 2023.

Mkuu huyo wa Mkoa amesema hayo leo Juni 11, 2023 katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa mkoa wakati akizungumza  waandishi wa habari juu ya ujio wa Mkuu huyo wa nchi katika ziara yake ya siku 3 mkoani humo.

"Rai yetu kwa viongozi na wananchi kujitokeza kwa wingi Juni 12, 2023 katika kumpokea Mhe. Rais  akiwasili uwanja wa ndege na kumlaki kwa wingi barabarani  akipita kuelekea  Ikulu," CPA. Makalla

"Niwaalike wananchi kujitokeza kwa wingi  kuja kwenye Tamasha la Utamaduni (Bulabo)  ambapo Chief Hangaya atashiriki katika Tamasha hilo ambalo maandalizi yameshakamilika na Machifu na Watemi kutoka maeneo mbalimbali wameshawasili na atakagua Makumbusho ya Kiutamaduni Bujora  pia kutakuwa na vikundi mbalimbali vya ngoma kutoka maeneo tofauti,"amesisitiza Mkuu huyo wa Mkoa

Aidha Mhe. CPA. Makalla amesema Juni 14, 2023 Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan atakagua miradi ya maendeleo na atapata fursa ya kuwasalimia  wananchi katika miradi yote atakayopita kukagua.

"Nitumie fursa hii kuwaomba Wananchi tumepata fursa ya kutembelewa na Mhe. Rais tujitokeze kwa wingi kushuhudia na kushirikiana nae katika Ukaguzi wa  miradi ya maendeleo  ambapo atakagua daraja la JP Magufuli lililopo Kigongo Busisi na atapata fursa ya kuwasalimia wananchi wa Wilaya za  Misungwi na Sengerema pia atakagua ujenzi wa meli ya Mv. Mwanza HAPA KAZI TU pia atapata fursa pia ya kuwasalimia wananchi wa Wilaya ya Nyamagana baada ya hapo atakagua ujenzi wa Hoteli yenye hadhi ya nyota tano inayojengwa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF)," Amesema Mhe. Makalla

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania anahudhuria Tamasha la Utamaduni la (Bulabo) ambapo ndipo alipotawazwa kuwa Chifu Mkuu na kupewa jina la Chifu Hangaya   Mwaka 2021.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.