• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

WANANCHI WATAKIWA KUCHANGIA NGUVU KAZI KATIKA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA AFYA

Posted on: January 16th, 2026

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ametoa wito kwa wananchi kuunga mkono juhudi za Serikali katika ujenzi na uboreshaji wa miundombinu ya afya kwa kuchangia nguvu kazi hususani katika hatua za awali za utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Mhe. Mtanda ametoa wito huo alipokuwa akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Manayi Wilaya ya Kwimba wakati wa ziara yake ya kukagua ujenzi wa Zahanati ya Manayi inayojengwa katika Kijiji cha Igaga. Ameeleza kusikitishwa na kusuasua kwa baadhi ya wananchi kuchangia nguvu kazi katika ujenzi wa zahanati hiyo.

Amesema kuwa Serikali inaendelea kuwekeza fedha nyingi katika kuboresha miundombinu na huduma za afya kwa ujumla hivyo ni muhimu wananchi kuwa sehemu ya maendeleo hayo kwa kushiriki kikamilifu kupitia shughuli kama kusomba mawe, mchanga na kufyatua matofali.

Ili kuhimiza uwajibikaji Mhe. Mtanda ameonya kuwa Serikali inaweza kuhamishia fedha za ukamilishaji wa zahanati hiyo kwenda eneo jingine endapo ndani ya mwezi mmoja wananchi hawataonesha juhudi na nia ya dhati ya kuchangia ujenzi wa miundombinu hiyo.

“Tumewasikia wananchi wa Kijiji cha Manayi kupitia kwa Mkuu wa Wilaya wakieleza kuwa jitihada zao zimekwama licha ya Serikali kutoa fedha za ukamilishaji. Baada ya mwezi mmoja, wasije wakalaumu maamuzi yatakayochukuliwa,” amesisitiza Mkuu wa Mkoa.

Akitoa taarifa ya maendeleo ya ujenzi Mtendaji wa Kata ya Ilula, Bi. Hope Longino amesema kuwa mwezi Julai 2025 Serikali ilitoa shilingi milioni 300 kwa ajili ya ukamilishaji wa maboma matano ya zahanati zilizopo katika vijiji vya Igaga, Shirima, Kawekamo, Bugunga na Kijida.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI SAHWA -MWANZA

    January 23, 2026
  • SERIKALI YA AWAMU YA SITA INAJALI MAISHA YA WANANCHI WAKE - WAZIRI MKUU

    January 23, 2026
  • WAZIRI MKUU ATUA MWANZA KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MOJA

    January 23, 2026
  • WAZIRI MKUU KUZINDUA MELI YA KISASA MWANZA KESHO

    January 22, 2026
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.