• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

WARATIBU WA TASAF WAAGIZWA KUSIMAMIA MIRADI KWA UKAMILIFU NA UTIMILIFU

Posted on: August 12th, 2025

Waratibu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Mkoa wa Mwanza wametakiwa kusimamia miradi ya maendeleo kwa umakini, ubora na viwango ili iwe yenye tija kwa wananchi na idumu kwa muda mrefu.

Rai hiyo imetolewa na Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF, Bi. Salome Mwakigomba katika kikao cha Wataalam cha Tathmini ya utekelezaji wa kipindi cha pili cha Mpango wa TASAF Mkoa wa Mwanza.


Bi. Mwakigomba amewataka Waratibu hao kusimamia miradi hiyo iwe endelevu na ikamilike kwa wakati, ambapo amesema wao nia yao ni kuiunga mkono Serikali kwa kuibua na kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo hivyo pia ni lazima ijengwe kwa ufanisi ili idumu.


“Ni mtarajio na matamanio yetu kwamba miradi yetu hii ya TASAF itekelezwe kwa ubora, kwa mfano mimi nimesoma shule ya Jitegemee imedumu kwa muda mrefu bila kuharibika hivyo natamani hata miradi yetu idumu pia kwa kipindi kirefu”.


Kazi ya TASAF ni ibada unamsaidia mtu kula na kujikimu, hukumu ya mwisho inasema nilikuwa na njaa ukanipa chakula, kwa sasa Mtu anaweza kujitafutia na akapata kitu hiyo ni ibada. Tusichukulie kazi kama kazi tuchukulie matokeo ya kazi na wangapi watanufauka katika ubora ule ule. Amesema Bi. Mwakigomba.


Aidha ametoa muda wa mwezi mmoja hadi kufikia septemba 10, miradi yote ya TASAF katika Mkoa wa Mwanza iwe imekamilika na kukabidhiwa kwa kuwa hakuna kikwazo chochote cha rasilimali hivyo hakutakuwa na sababu yoyote ya kushindwa kufanya hivyo.


Akifungua kikao hicho kwa niaba ya Katibu Tawala Mkoa, Mhandisi Chagu Ng’oma Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Miundombinu ametoa wito kwa Waratibu hao wa TASAF kushirikiana kwa ukamilifu na Wahandisi wa Wilaya katika miradi ya ujenzi ili kuwepo na ubora, viwango katika utekelezaji wa miradi.


Amesisitiza kuwa uwepo wa wazo na ushauri kutoka kwa Wahandisi kwa pamoja na waratibu mashauriano hayo ni bora na yanaweza kuleta mchango chanya katika utekelezaji ili kupatikana kwa miradi bora.


Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA MTAKUWWA MWANZA YATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WA KULINDA JAMII DHIDI YA UKATILI

    August 13, 2025
  • ZAIDI YA WALENGWA ELFU HAMSINI WANUFAIKA NA RUZUKU YA BILIONI 82 MWANZA

    August 13, 2025
  • WARATIBU WA TASAF WAAGIZWA KUSIMAMIA MIRADI KWA UKAMILIFU NA UTIMILIFU

    August 12, 2025
  • RC MTANDA AKITETA JAMBO NA KATIBU MKUU WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI

    August 11, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.